Elli Platinum Member Mar 17, 2008 55,502 86,050 Nov 4, 2011 #2 Kuku ndio mtamu kwani unakula hadi mifupa! samaki unaacha miba na wengine kichwa hawakipendi....
DASA JF-Expert Member Jan 6, 2011 1,031 301 Nov 4, 2011 Thread starter #3 Elli said: Kuku ndio mtamu kwani unakula hadi mifupa! samaki unaacha miba na wengine kichwa hawakipendi.... Click to expand... Huyo atakuwa wa kisasa!! wa kienyeji lazima uvunje meno! Loh!
Elli said: Kuku ndio mtamu kwani unakula hadi mifupa! samaki unaacha miba na wengine kichwa hawakipendi.... Click to expand... Huyo atakuwa wa kisasa!! wa kienyeji lazima uvunje meno! Loh!
Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 Nov 4, 2011 #4 DASA said: Tatizo miba!! Loh! Click to expand... we umekula samaki gani.....?
jouneGwalu JF-Expert Member Apr 11, 2011 2,687 1,780 Nov 4, 2011 #5 Kwetu kule kuna kitu "MBASA" kweli samaki noma.
DASA JF-Expert Member Jan 6, 2011 1,031 301 Nov 4, 2011 Thread starter #6 Preta said: we umekula samaki gani.....? Click to expand... Preta ngoja niulizie!! Pole mwaya najua we huko yaeda chini hakuna samaki.
Preta said: we umekula samaki gani.....? Click to expand... Preta ngoja niulizie!! Pole mwaya najua we huko yaeda chini hakuna samaki.
DASA JF-Expert Member Jan 6, 2011 1,031 301 Nov 4, 2011 Thread starter #7 jouneGwalu said: Kwetu kule kuna kitu "MBASA" kweli samaki noma. Click to expand... Mbasa wa wapi hao. Hebu tulistie harakaharaka kuna aina ngapi!! mana mi samaki ni samaki tu.
jouneGwalu said: Kwetu kule kuna kitu "MBASA" kweli samaki noma. Click to expand... Mbasa wa wapi hao. Hebu tulistie harakaharaka kuna aina ngapi!! mana mi samaki ni samaki tu.
figganigga JF-Expert Member Oct 17, 2010 25,492 54,895 Nov 4, 2011 #8 nimefungua nikijua kuna bonge la picha.weka picha tuone kidogo bana!.mia
DASA JF-Expert Member Jan 6, 2011 1,031 301 Nov 4, 2011 Thread starter #9 figganigga said: nimefungua nikijua kuna bonge la picha.weka picha tuone kidogo bana!.mia Click to expand... We mpare nini ndugu!! Loh!
figganigga said: nimefungua nikijua kuna bonge la picha.weka picha tuone kidogo bana!.mia Click to expand... We mpare nini ndugu!! Loh!
jouneGwalu JF-Expert Member Apr 11, 2011 2,687 1,780 Nov 4, 2011 #10 DASA said: Mbasa wa wapi hao. Hebu tulistie harakaharaka kuna aina ngapi!! mana mi samaki ni samaki tu. Click to expand... Ni ziwa nyasa kule, wana mnovu mtamu kuliko samaki wote, wana mafuta mengi, nyama yake ni nyeupe kupita maelezo!
DASA said: Mbasa wa wapi hao. Hebu tulistie harakaharaka kuna aina ngapi!! mana mi samaki ni samaki tu. Click to expand... Ni ziwa nyasa kule, wana mnovu mtamu kuliko samaki wote, wana mafuta mengi, nyama yake ni nyeupe kupita maelezo!
BIG X JF-Expert Member Nov 4, 2011 777 212 Nov 4, 2011 #12 Kweli watamu ndugu!! Lakini sio wote wana miba. Nadhani Sato hana miba, na ni mtamu kinoma.
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,642 Nov 4, 2011 #13 vip huwa unamla pande zote mbili??????????
DASA JF-Expert Member Jan 6, 2011 1,031 301 Nov 5, 2011 Thread starter #14 mikatabafeki said: vip huwa unamla pande zote mbili?????????? Click to expand... Aakuuu!!! mi nakulaga upande mmoja tu!! Loh!
mikatabafeki said: vip huwa unamla pande zote mbili?????????? Click to expand... Aakuuu!!! mi nakulaga upande mmoja tu!! Loh!
Jeji JF-Expert Member Jun 28, 2011 1,975 371 Nov 5, 2011 #15 sasa mkuu utakulaje upande mmoja? samaki sharti aliwe pande zote.
DASA JF-Expert Member Jan 6, 2011 1,031 301 Nov 5, 2011 Thread starter #16 Jeji said: sasa mkuu utakulaje upande mmoja? samaki sharti aliwe pande zote. Click to expand... Upande wa pili unakuaga mchafu mi siupendi!! Loh!!
Jeji said: sasa mkuu utakulaje upande mmoja? samaki sharti aliwe pande zote. Click to expand... Upande wa pili unakuaga mchafu mi siupendi!! Loh!!
rmashauri JF-Expert Member Jan 29, 2009 3,011 454 Nov 5, 2011 #17 jouneGwalu said: Kwetu kule kuna kitu "MBASA" kweli samaki noma. Click to expand... Na Mbelele pia. Huku kwetu ziwa Viktoria kuna samaki anaitwa Nembe akifuatiwa na Ningu.
jouneGwalu said: Kwetu kule kuna kitu "MBASA" kweli samaki noma. Click to expand... Na Mbelele pia. Huku kwetu ziwa Viktoria kuna samaki anaitwa Nembe akifuatiwa na Ningu.
BAK JF-Expert Member Feb 11, 2007 124,789 288,015 Nov 5, 2011 #18 DASA said: Tatizo miba!! Loh! Click to expand... Samaki gani unayemzungumzia? Tasi, Changu, Papa au nguru!? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
DASA said: Tatizo miba!! Loh! Click to expand... Samaki gani unayemzungumzia? Tasi, Changu, Papa au nguru!?
Mshume Kiyate JF-Expert Member Feb 27, 2011 6,766 894 Nov 6, 2011 #20 Preta said: we umekula samaki gani.....? Click to expand... Unapenda samaki wa maji chumvi au baridi?
Preta said: we umekula samaki gani.....? Click to expand... Unapenda samaki wa maji chumvi au baridi?