F fisimlafi Member Jul 13, 2010 8 0 Jul 26, 2012 #1 Ningependa kujua maana ya neno "msia". Je, samaki aitwaye msia au mzia ni samaki gani?
denoo49 JF-Expert Member Mar 29, 2011 6,113 6,937 Jul 26, 2012 #2 Maswali mengine muwe mnagoogle, kutupunguzi idadi ya maandishi humu jf. Sasa hili limeingiaje kwenye jukwaa la lugha, au huyo fish anazungumza..!?
Maswali mengine muwe mnagoogle, kutupunguzi idadi ya maandishi humu jf. Sasa hili limeingiaje kwenye jukwaa la lugha, au huyo fish anazungumza..!?