Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Hivi kumbe mkiomba msamaha huwa mnamaanisha?
Kinomanoma yani. Mwanaume akiwa mdogo utamuonea huruma.
Hivi kumbe mkiomba msamaha huwa mnamaanisha?
Haswaa, si kosa wala dhambi kuomba msamaha kwa mtu wako, hii ni kwa wale wanaojitambuaHivi kumbe mkiomba msamaha huwa mnamaanisha?
mmh haya sawa.Haswaa, si kosa wala dhambi kuomba msamaha kwa mtu wako, hii ni kwa wale wanaojitambua
Teh unaleta ugomvi wa mawe na huku unakaa kwenye nyumba ya vioo.
Huwa nasoma comments za baadhi ya wanaume afu nawasikitikia. Utakuta ana mke, ila nje ana michepuko sijui ulevi, kurudi sometimes hadi asubuhi na maudhi kibao. Ila atajisifia sasa, mke wangu haniulizi chochote, yani hajali, na huku ndo watamdanganya kabisa "ooh huyo mkeo ndo ameshakomaa kwa ndoa". Naogopa mnoooo kumess up na mtu mkimya/mpole, hujui nini anawaza nafsini mwake, siku akinyanyua uso wake ni hutooamini. Kweli silence is the best weapon, ona huyu analia lia sasa hivi gademuu
Alini
Alinisamehe, sasa hivi nimebaki njia kuu kuchepuka basi sitaki.
wapo wengi tu mtaani,wanawake sampuli ya mkeo ni nadra sana kuwapata,
Teh wanakutana na mengi mnoo, basi tu. Me nasemaga mara nyingi ukishakuwa kamchepuko na ufahamu wako kidogo unafungwa. Mwanaume wa hivyo unakuwa naye kwa machale mnoo ni bonge la red flag , anavyoitreat familia yake/mkewe now, what's the guarantee kuwa hatokutreat na wewe hivyo hivyo hapo baadaye??. Sema michepuko ndo vile inajionaga imekamilika kila idara ndo maana Mume anachepuka eti teh. Sasa mingine ikishaachwa ndo na kichaa juu.Hahah, kumbe wanapitia mengi ni mipango ya nje.
Wewe bwana, eti package ya kugombania...lol
Halafu umeona, Shughuli inakuja hapo mtu anapo fall kabsa kwa mbebez wa kuvizia, anajikuta ka fall wakati bae ndo kwanza kachoka nae. Ni hapa sasa kama hivi mtu anachanganya akili na kutangaza nchi nzima kuwa alikuwa mistress.
Halafu mtu sijui huwa wana hakika vipi kuwa atamwacha mkewe achukuliwe yeye, watu wana moyo mbona.
Afadhali yake huyu Zogoo mambo yalibadilika before it's too late, before the mcheps couldn't do more harm to his family.
Teh wanakutana na mengi mnoo, basi tu. Me nasemaga mara nyingi ukishakuwa kamchepuko na ufahamu wako kidogo unafungwa. Mwanaume wa hivyo unakuwa naye kwa machale mnoo ni bonge la red flag , anavyoitreat familia yake/mkewe now, what's the guarantee kuwa hatokutreat na wewe hivyo hivyo hapo baadaye. Sema michepuko ndo vile inajionaga imekamilika kila idara ndo maana Mume anachepuka eti teh. Sasa mingine ikishaachwa ndo na kichaa juu.
Huyu zogoo aahukuru Mungu alitoka huko shimoni mapema
Teh wanakutana na mengi mnoo, basi tu. Me nasemaga mara nyingi ukishakuwa kamchepuko na ufahamu wako kidogo unafungwa. Mwanaume wa hivyo unakuwa naye kwa machale mnoo ni bonge la red flag , anavyoitreat familia yake/mkewe now, what's the guarantee kuwa hatokutreat na wewe hivyo hivyo hapo baadaye??. Sema michepuko ndo vile inajionaga imekamilika kila idara ndo maana Mume anachepuka eti teh. Sasa mingine ikishaachwa ndo na kichaa juu.
Huyu zogoo ashukuru Mungu alitoka huko shimoni mapema
Chakula cha usiku ulipata kweli!!!
Hahaha machale kundesa, ungeliajeNgastukaaa
Ukigundua kuwa mke hakuhofii tena unapata wakati mgumu sasa kujinyenyekeza.
Teh hadi yakiwafika pabaya lakiniAlas, Kumbe mnajua kunyenyekea!
Teh hadi yakiwafika pabaya lakini
Limbwata la kazi gani, ukamuharibu mtu akili bureHaha nimeshangaa ati, yakiwafika pabaya wenyewe wananyoosha bendera nyeupe.
Hakuna haja ya limbwata wala nini. 🙂
Mkuu na kale ka HIV kacheck maana michepuko haina bwana mmoja. Ukitoka jioni ukirudi kwako anaingiza wa kumtia joto usiku.Asa
Asante mkuu, pamoja sana