topr
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 700
- 654
Yule Wa kule anae mtete mchepuko(japo yy ndo mchepuko) niitie tu aje kuona watu wenye hekima zao Na wanaume wenye akili
Sio mwanaume ajielewi Na ww mchepuko wampa kichwa
Yule Wa kule anae mtete mchepuko(japo yy ndo mchepuko) niitie tu aje kuona watu wenye hekima zao Na wanaume wenye akili
Yani huyo mwanamke ni mke mwema, mke wa viwango vya juu sana, le akili kubwaaz. Ana hofu ya Mungu, ana hekima, anajitambua na anajua yeye ni nani na anataka nini. Bonge la package, I'm tapping into this anointing shaaaYaani ata me nilitaka nikuite my
Hahaha me sitaki buana. Huyu mke nimempendaaaaYule Wa kule anae mtete mchepuko(japo yy ndo mchepuko) niitie tu aje kuona watu wenye hekima zao Na wanaume wenye akili
Sio mwanaume ajielewi Na ww mchepuko wampa kichwa
Hahaha me sitaki buana. Huyu mke nimempendaaaa
yaani nimeishaa screenshot hiii noisome Na kuituma kwenye ba groop watu wamuone sarra Wa Dunia ya Leo mwanamke mwenyehekima ya juu sanaHahaha wapelekee wasome bana. Kuna mama Patience mmoja utamfungua ufahamu wake. Kupigana sijui kutukanana inahuuu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
yaani nimeishaa screenshot hiii noisome Na kuituma kwenye ba groop watu wamuone sarra Wa Dunia ya Leo mwanamke mwenyehekima ya juu sana
Mimi sijamaliza kuisomaHii ni riwaya au?
Hahaha huyu mwanamke sio kiboko tu, ni mamba kabisa. Mungu atupe hizi hekima jamaniAisee!, mpaka na mie nimesikia kulia hapo mke alipofuta machozi.
Huyu mwanamke ni kiboko. Ni hivi niliuliza kule kwingine hivi usipokuwa na habari nae anakuwaje..kumbe ni hivi.
Hahaha huyu mwanamke sio kiboko tu, ni mamba kabisa. Mungu atupe hizi hekima jamani
Hahaha wapelekee wasome bana. Kuna mama Patience mmoja utamfungua ufahamu wake. Kupigana sijui kutukanana inahuuu
Mmh yakikukuta, cha kwanza muombe Mungu, utulie. Wengine at first huwa wanapanick ndo unakuta unakula vichambo vya mchepuko. Ukitulia na Mungu, mbona utaucheka wakati na hayo majaribu. Tatizo wengi wetu ndo hivyo, tunawapa umuhimu zaidi wanaume kuliko Mungu, na matatizo/makosa tunayaweka mioyoni na sio akilini. Mwisho wa siku unakurupuka kufanya tu upuuzi, Ukijakishtuka umeharibu mnooo. Mungu atusaidie na haya mapitoAcha tu..
Eti Patience!..lol
Hii ya bila kelele ni nzuri unaona mpaka mtu anashtuka, huyu mke ni very descent.
Kuna wengine they will not go down without kicking and screaming. To just make scene 🙂
Mmh yakikukuta, cha kwanza muombe Mungu, utulie. Wengine at first huwa wanapanick ndo unakuta unakula vichambo vya mchepuko. Ukitulia na Mungu, mbona utaucheka wakati na hayo majaribu. Tatizo wengi wetu ndo hivyo, tunawapa umuhimu zaidi wanaume kuliko Mungu, na matatizo/makosa tunayaweka mioyoni na sio akilini. Mwisho wa siku unakurupuka kufanya tu upuuzi, Ukijakishtuka umeharibu mnooo. Mungu atusaidie na haya mapito
Mm hapo tuu kwenye le akili kubwaz umenifurahisha saana shout out to lemutuzYani huyo mwanamke ni mke mwema, mke wa viwango vya juu sana, le akili kubwaaz. Ana hofu ya Mungu, ana hekima, anajitambua na anajua yeye ni nani na anataka nini. Bonge la package, I'm tapping into this anointing shaaa
Heheheheh
