Jicho la Tai
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 1,449
- 574
Kuna usemi kwamba siku ya mwisho tunaenda Mbinguni, hatutaishi hapa Duniani
MASWALI:
1. Je tutapishana na Yesu/Mungu? coz wanasema yesu akija......
2. Huko mbinguni kuna dunia nyingine? Kama ipo je Itatosha watu wote pamoja na waliokufa siku nyingi toka Mungu aiumbe dunia?
SAMAHANI LAKINI
MASWALI:
1. Je tutapishana na Yesu/Mungu? coz wanasema yesu akija......
2. Huko mbinguni kuna dunia nyingine? Kama ipo je Itatosha watu wote pamoja na waliokufa siku nyingi toka Mungu aiumbe dunia?
SAMAHANI LAKINI