GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,417
- 120,731
Hivi hizi Bendi ( Brass Band ) au hawa Wasanii kuitwa kutumbuiza IKULU kila ponapokuwa na jambo / tukio muhimu na la muda mfupi huwa lina tija au mantiki yoyote? Kuna ulazima wowote wa kuwepo kwa Brass Band au Wasanii IKULU hasa katika matukio ya muda mfupi na yenye Unyeti wake mkubwa kwa Umma?
Nawasilisha.
Nawasilisha.