Hivi kwani haiwezekani mwanaume kwenda kula kwenye mghahawa peke yake..................Lilikuwa ni swali la kijinga eh!
Kama ana tageti basi itakula kwake.............huyu atakuwa hamjui GUSTAVO huyu....................
Mimi nilikuwa mkware kiboko ya mambo......................Kwanza nina watoto humu, nisije nikaharibu..............LOL
Hahaha! Wacha nijinyamazie lol.Wewe sasa una NONGWA.....................LOL
Jambo dogo lakini untaka kuliuuuza.............................!
Mtambuzi hata kwa kumwambia inatosha...ila ni kama hujielewielewi vileee hahahahahaaaaaJamani nimesema nitamjibu baadae kidogo...........Nikimaliza kula namtolea Lap Top namuonyesha picha zetu za Harusi.........Kuna ubaya gani kuonyesha ushahidi?
Yuko Kibaha kumsaidia wifi yake aliyejifungua jana.......................
Jamani nimesema nitamjibu baadae kidogo...........Nikimaliza kula namtolea Lap Top namuonyesha picha zetu za Harusi.........Kuna ubaya gani kuonyesha ushahidi?
Hahaha BADILI TABIA umenifanya nicheke kwa sauti lol...ndo maana unajimwaga mwaga kweli humu....
Nyumbani watoto wapo?
Hausigelo?
Isije ukapiga vyuku ngina akala ndondo
Hahaha!Yale yale ya TRIAL MER..., Mwambie wewe ni CONCURENT...
Bado najiuliza ana maana gani.................Au kwa sababu sijavaa pete ya ndoa kama wengine...........!?
Sasa akikwambia "Wanawake walivyo wengi hivi, ina maana hujapata wa kuoa tu"
Utamjibu nini?
Yuko Kibaha kumsaidia wifi yake aliyejifungua jana.......................
hivi kwani haiwezekani mwanaume kwenda kula kwenye mghahawa peke yake..................lilikuwa ni swali la kijinga eh!
Kama ana tageti basi itakula kwake.............huyu atakuwa hamjui gustavo huyu....................
Mimi nilikuwa mkware kiboko ya mambo......................kwanza nina watoto humu, nisije nikaharibu..............lol