Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,611
- 867
Hivi kwani haiwezekani mwanaume kwenda kula kwenye mghahawa peke yake..................Lilikuwa ni swali la kijinga eh!
Kama ana tageti basi itakula kwake.............huyu atakuwa hamjui GUSTAVO huyu....................
Mimi nilikuwa mkware kiboko ya mambo......................Kwanza nina watoto humu, nisije nikaharibu..............LOL
Ni wazi mkuu unaonekana gia zako zilikuwa kama rivasi haishindwi kitu. Ila nimegundua kuwa huyo manzi aliibua hisia zako mpaka ukataka kupotea nji kwa kumeta cheche za enzi zako.