Samahani, hivi hii lugha ya kiarabu haiwezi kubadilishwa?

Status
Not open for further replies.
Kuna mtu aliienda Italy akashundwa kwenda sambamba na misa kwakuwa ilikuwa Kitaliano tu !
Sie iwe China/Mexico au Urusi tunakwenda sawa !
'Na hakika tumeisanifu Qur'an kwa lugha ya kiarabu ili iwabashiriye kwayo wanao mcha MUNGU na iwaonye kwayo watu wabishi.
Q: 19:97

Issue hapo ni kumwomba mungu...kusamehewa makosa yako..wewe binafsi...ukisema unaenda sambamba kwa kuinama na kupiga magoti hiyo sio tija maana mungu anasema kila mtu anasamehewa au anahukumiwa kutokana na makosa yake..kukariri tu maneno na kuyarudia rudia kwa pamoja..hakusaidii!
 
Nimetanguliza samahani hapo juu, na hapa narudia tena kuwaambia SAMAHANI kwa hili ninalouliza sio kwa lengo la kumkashifu/kudharau mtu/dini fulani.

Hivi yale maandiko yaliyo ktk Quran tukufu inayotumiwa na wenzetu waislamu hayawezi kubadilishwa na kuwa ktk lugha mbalimbali inayoweza kusomeka ktk maeneo tofauti tofauti kulingana mahitaji ya eneo husika, kama ilivyo kwa biblia takatifu ilivyo katika lugha mbali mbali lakin zote zikiwa na maana moja na lengo moja.

Naomba kuwasilisha
.

Wewe unazungumzia interpretation, mbona Qur -an ipo kwa lugha zote, ispokuwa hakujabadilishwa kitu kama hio bible yako,msahafu just interpretation. Ukitaka hata apps ya qur- an ipo kwa Lunga ya kiswahili, mimi ninayo huwa nasoma muda Wangu wa free.
 
Binamu yangu Nyakageni, Makabila hayo sasa yameshayayuka na kuchanganyikana yote chini ya Mwamvuli wa Lugha ya kiarabu. Nakuhakikishia kuwa kuna kiarabu na kiHebrew na Kituruki...!

kabila linayeyuka? How? Kati ya makabila uliyoyataja mwanzo, ni lipi hasa ambalo korani iliandikwa?
 
Hapa hatuongelei Sikukuu ndugu muefeso.
Hapo umeelezewa SIKU YA IBADA ya Mapumziko Ya MWISHO WA WIKI.

Soma Bibilia inasema nini hapa.
MAMBO YA WALAWI 23

Mtafanya kazi siku sita; lakini siku ya saba ni Sabato ya kustarehe kabisa, kusanyiko takatifu; msifanye kazi ya namna yo yote; ni Sabato kwa Bwana katika makao yenu yote.-


SASA Nakuuliza wewe SABATO Mlioamrishwa Muitukuze na Mfanye Ibada ya MKUSANYIKO ni IJUMAA ? AU Jumamosi? Au JUMAPILI?

Ukinijibu kwa ushahidi na mimi nabatizwa bila maji hata kesho.

ndugu KITIMOTO sikia

EID ALHAJJ NA EL FITRI NI TUNAITA SIKUKUU KWA SABABU ZINAADHIMISHA KITU FULANI AMBACHO IBADA HUA INAFANYWA SIKU HIYO, SO HIZO NI IBADA KAMA KAMA HIZO ZA KUABUDU JUMAMOSI NA JUMAPILI, SASA KWA NINI HUA ZINATOFAUTIANA? KWA NINI KUNA WANAOUONA MWEZI LEO NA WENGINE WANAUSUBIRI MWEZI KESHO? AU KUNA MIEZI MIWILI DUNIANI? KWA NINI KUNA EID YA BAKWATA NA ILE YA ANSWAR SUNA?

HALAFU JANA NILIKUONA KWA MANGI UNANUNUA NUSU KILO, HEE? UMEPUNGUZA SIKU HIZI?
 
ndugu KITIMOTO sikia

EID ALHAJJ NA EL FITRI NI TUNAITA SIKUKUU KWA SABABU ZINAADHIMISHA KITU FULANI AMBACHO IBADA HUA INAFANYWA SIKU HIYO, SO HIZO NI IBADA KAMA KAMA HIZO ZA KUABUDU JUMAMOSI NA JUMAPILI, SASA KWA NINI HUA ZINATOFAUTIANA? KWA NINI KUNA WANAOUONA MWEZI LEO NA WENGINE WANAUSUBIRI MWEZI KESHO? AU KUNA MIEZI MIWILI DUNIANI? KWA NINI KUNA EID YA BAKWATA NA ILE YA ANSWAR SUNA?

HALAFU JANA NILIKUONA KWA MANGI UNANUNUA NUSU KILO, HEE? UMEPUNGUZA SIKU HIZI?

Baada ya kufa mtume wetu Muhammad s.a.w maswahaba walihitifiliana kama hivi Sasa sisi waislamu, mwezi upo mmoja, ispokuwa ufahamu kwamba jua lipo moja, hata mchana tunatofautiana, mungu ndio alio umba dunia na kila kitu, so yeye ndio anae jua siri ya mzunguko, kwani tumemrishwa kufunga mwezi mtukufu wa Ramadan kwa kuona mwezi na kula eid kwa kuona mwezi, Hivyo mwezi wa kislamu au calendar ni mwezi ndio wenye kutuongoza.
 
baada ya kufa mtume wetu muhammad s.a.w maswahaba walihitifiliana kama hivi sasa sisi waislamu, mwezi upo mmoja, ispokuwa ufahamu kwamba jua lipo moja, hata mchana tunatofautiana, mungu ndio alio umba dunia na kila kitu, so yeye ndio anae jua siri ya mzunguko, kwani tumemrishwa kufunga mwezi mtukufu wa ramadan kwa kuona mwezi na kula eid kwa kuona mwezi, hivyo mwezi wa kislamu au calendar ni mwezi ndio wenye kutuongoza.

kwa hiyo kumbe tofauti zinasababishwa na kuhitilafiana kwa binadamu? Basi jibu litakua the same for all cases.

SASA KAMA POINT YA MDAU HAPO JUU ILIKUA IMEJIKITA KWENYE KUTAKA KUJUA IPI NI SIKU SAHIHI KATI YA JUMAMOSI NA JUMAPILI SASA NA MIMI NIKIRUDISHA SWALI KWAKE KWAMBA IPI NI EID SAHIHI KATI YA ILE YA BAKWATA NA ILE YA ANSWAR SUNA? ATAJIBUJE? ZOTE NI SAHIHI? AU MOJA NI SAHIHI NA MOJA SI SAHIHI?

Shukrani
 
kabila linayeyuka? How? Kati ya makabila uliyoyataja mwanzo, ni lipi hasa ambalo korani iliandikwa?

Ndugu elewakuwa katika lugha yoyote kuna lugha kuu na lahaja zake,mfano unaposema Kiswahli, kuna kipemba, kimakunduchi, kitumbatu, kiunguja mjini, hata Tanganyika kuna Kiswahili chake,kenya chake, na inawezekana kama upo Tanganyika mpemba akingumza Kiswahili hupati kitu japo na wewe unakizungmza Kiswahili lakini cha tanganyika
 
ndugu KITIMOTO sikia

EID ALHAJJ NA EL FITRI NI TUNAITA SIKUKUU KWA SABABU ZINAADHIMISHA KITU FULANI AMBACHO IBADA HUA INAFANYWA SIKU HIYO, SO HIZO NI IBADA KAMA KAMA HIZO ZA KUABUDU JUMAMOSI NA JUMAPILI, SASA KWA NINI HUA ZINATOFAUTIANA? KWA NINI KUNA WANAOUONA MWEZI LEO NA WENGINE WANAUSUBIRI MWEZI KESHO? AU KUNA MIEZI MIWILI DUNIANI? KWA NINI KUNA EID YA BAKWATA NA ILE YA ANSWAR SUNA?

HALAFU JANA NILIKUONA KWA MANGI UNANUNUA NUSU KILO, HEE? UMEPUNGUZA SIKU HIZI?

aiseee. . . . labda alikuwa "kazidiwa"!
 
Nimetanguliza samahani hapo juu, na hapa narudia tena kuwaambia SAMAHANI kwa hili ninalouliza sio kwa lengo la kumkashifu/kudharau mtu/dini fulani.

Hivi yale maandiko yaliyo ktk Quran tukufu inayotumiwa na wenzetu waislamu hayawezi kubadilishwa na kuwa ktk lugha mbalimbali inayoweza kusomeka ktk maeneo tofauti tofauti kulingana mahitaji ya eneo husika, kama ilivyo kwa biblia takatifu ilivyo katika lugha mbali mbali lakin zote zikiwa na maana moja na lengo moja.

Naomba kuwasilisha
.

Uko wapi nikuletee tafsiri ya Kiigereza? au hata ya kichina? au type qoran in english ,, kwani hujawahi ona msahafu wa kiswahili au uzandiki unakusumbua? sema quran in its original language imebaki kama referent , si unaona biblia shida iliyopata?
 
ndani ya ukristo haijajulikana siku haswa ya ibada kuu kwamba ni j,mosi au j,pili
JIBU:HATA KWENYE UISLAM ZILE SIKUKUU ZA IDI KUNA WANAOSWALI MFANO JUMATANO NA WENGINE ALHAMISI KWA NINI WOTE BASI WASISWALI SIKU MOJA?SI MMESEMA NYIE NI WAMOJA IN EACH AND EVERY THING? SIJUI UKIENDA CHINA, IRAN WAPI MNAWEZA KUSWALI KILA SEHEM? KWA NINI KUNA EID YA JUMATANO NA YA ALHAMISI?

na pia huwezi linganisha uislam na ukristo kwa kuwa ndani ya misikiti hakuna kiti wala benchi pia hakuna DISCO hata kuingia viatu haipo (
na haya yapo kwa dini karibia zote kasoro kwa yule mungu aliyezaliwa na kuuliwa na aliyewaumba)

UNAVYOSEMA YA KWAMBA HAYA YAPO KARIBIA DINI ZOTEPOINT YAKO HAPA NI NINI? KWAMBA HIZO DINI ZINGINE NI SAWA NA UISLAM? AU KWAMBA DINI ZOTE NI SAWA KASORO UKRISTO? HAMIA BASI UBUDHA MKUU

uislamu na ukristo hauwezi kufanana kwa kuwa ukristo kule kwenye asili yake umepigwa marufuku na hadi kwenye katiba hipo kuwa wewe ukishakuwa mkristo umeshapoteza haki zako kama raia(ISRAEL)

KWENYE ASILI YA UKRISTO SIO ISRAEL BALI NI PALESTINA YA LEO, JORDAN YA LEO, SYRIA YA LEO, LEBANON YA LEO NA HIZO NCHI MPAKA LEO HII BADO KUNA WAKRISTO WA KARNE YA KWANZA NA NCHI ZAO ZINAWATAMBUA KAMA RAIA NA WAZAWA. SEHEM ALIPOZALIWA YESU BETHLEHEM IPO PALESTINA MKUU
Kaka kwa jinsi hulivyo uliza na kujibu na kuelezea nishakujua ww ni wa levo gani kwenye maswala ya dini. na mimi sitokuuliza wala kukujibu kwa kuwa wewe si wa kiwango changu cha uelewa wa mambo ya dini huna unalolijua si ukristo wala uislamu ngoja nikupe home work anza kujifunza hizi dini zote 2 au zaidi bila kufungwa kiakili na dini yoyote (yaani akili yako ijifunze kama vile hakuna unachojua kuhusu dini ) hizi ni fani za watu tunaishi kwa kazi hizi jinsi ninavyoujua ukristo nazani kuliko hata dini yangu si asili yangu kubishana kuhusu dini mi huwa napenda mambo ya live sio ya kwenye mitandao
 
tafisir yake ipo ukienda maduka makubwa ya kuuza vitabu vya kiislam na uban unapata lkn lazima uwe umevaa joho na kofia na ujue kutamka salam yao kifasaha hapo utauziwa,na pia tambua tafsir ya kiswahil ilitokea mombasa na walio shiliki wote wanatafutwa kuuawa,ukipata kuisoma utagundua mambo mengi ya ovyo yamewekwa kwenye lugha ya kiarabu kuficha uovu huo kwa jamii zinazo tukuza utumwa wa fikra kwamba kitabu kimeshushwa

= shiriki

Jifunze Kiswahili fasaha kabla hujaanza kuleta uongo wako.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom