A akamula Member Joined Sep 12, 2014 Posts 56 Reaction score 31 Aug 22, 2015 #62 kivuyo namaaaaaaaaaaaaa wazee!!!!!!!!!!
sajo JF-Expert Member Joined Nov 8, 2010 Posts 4,173 Reaction score 7,262 Aug 22, 2015 #63 Nilisikia sasa amehamia kituo cha habari cha Abood
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 42,436 Reaction score 50,163 Aug 22, 2015 #64 Landala said: kahamia Abood Tv siku nyingi. Click to expand... Coverage yake ni ndogo na haipo popular sana hiyo station wengi tuna mmiss mzee pangu pakavu nitilie mchuzi
Landala said: kahamia Abood Tv siku nyingi. Click to expand... Coverage yake ni ndogo na haipo popular sana hiyo station wengi tuna mmiss mzee pangu pakavu nitilie mchuzi
michael doto Senior Member Joined Jul 12, 2015 Posts 155 Reaction score 17 Aug 22, 2015 #65 simsikii amestaafu nini
Abuhunna JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 409 Reaction score 233 Aug 22, 2015 #66 Kazi ipo Kwa mi-babu na mi-bibi iliyo jazana TBC ambayo haina hata uwezo, sijui wamewatoa wapi, na sijui wamewaajiri kwa vigezo vipi, aibu tupu
Kazi ipo Kwa mi-babu na mi-bibi iliyo jazana TBC ambayo haina hata uwezo, sijui wamewatoa wapi, na sijui wamewaajiri kwa vigezo vipi, aibu tupu