Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,832
- 15,032
Ana maswali ya kiduanzi yule..Na swaga zake za kike kike. ..Sam nae kwa maswali yake
Sometimes unaweza hata ukamtukana
Ana maswali ya kiduanzi yule..Na swaga zake za kike kike. ..Sam nae kwa maswali yake
Sometimes unaweza hata ukamtukana
Kumbe hata ww umeliona hloAna maswali ya kiduanzi yule..Na swaga zake za kike kike. ..
Punguza mihemkoKibakuli ni mtu wa ajabu ajabu sana wanaomshabikia sijui wanampendea nini
Mkuu, kiba mduanzi sanaPunguza mihemko
Ali mdis lini na wapi. tatizo kibwa ushirikina unamsumbuaDiamond ndio alianza kumdiss Kiba, sasa kama anataka yaishe aende akamuombe msamaha kwa nidhamu na kama hawezi basi aendelee kama zamani.....
GoKibaGo.
alianzia wapi? inamaana mara hii mmesha sahau maneno aliongea msanii wenu kwny uzinduzi wa nyimbo zke mbili mwana n kimasomasoDiamond ndio alianza kumdiss Kiba, sasa kama anataka yaishe aende akamuombe msamaha kwa nidhamu na kama hawezi basi aendelee kama zamani.....
GoKibaGo.
Ni ktk kipindi cha FNL cha tar 17/03/2017..
Kifupi Kiba amekataa kujibu maswali aliyoulizwa na Sam...
Mwisho wamekatiana simu..
muziki wa Bongo una safari kubwa Sana kufika kilele
umeona eeeeh mm co team daimond wala co team kiba ila kibwa ana roho mbaya sana sisi tuliokaanae kariakoo tunalijua hili...ali kibwa bwa anaonekana Ana roho mbaya Sana huyu jamaa
Diamond alianza kumdiss kwa kusema Kiba anamloga......Ali mdis lini na wapi. tatizo kibwa ushirikina unamsumbua
alianzia wapi? inamaana mara hii mmesha sahau maneno aliongea msanii wenu kwny uzinduzi wa nyimbo zke mbili mwana n kimasomaso
Tuma salamu kwa watu wa tano......umeona eeeeh mm co team daimond wala co team kiba ila kibwa ana roho mbaya sana sisi tuliokaanae kariakoo tunalijua hili...
natuma salamu kwakoTuma salamu kwa watu wa tano......
Hata wewe unaonekana una roho mbayaumeona eeeeh mm co team daimond wala co team kiba ila kibwa ana roho mbaya sana sisi tuliokaanae kariakoo tunalijua hili...
sana ulikuwa ujuiHata wewe unaonekana una roho mbaya
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kibakuli ni mtu wa ajabu ajabu sana wanaomshabikia sijui wanampendea nini
Endeleasana ulikuwa ujui
Pia hata kuna mtu mwingine anajiuliza swali kama lako kwa wasaniii wengine sio ali tu kwamba wanapendewa nini ama wana nini had wanashabikiwaKibakuli ni mtu wa ajabu ajabu sana wanaomshabikia sijui wanampendea nini
lhjm[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]