Sam Mahela wa ITV na kipindi cha upande mmoja

Jaffo anakwambia, "unakuta Bansen burner na U-tube zimetumika toka 1985o_Oo_Oo_Oo_O hadi leo"


akimaanisha #test-tube
 
Ona hapa anasema YouTube kama kifaa cha maabara halafu Hilo choko linamsifia utumbo!! Watu weusi ni watu wa hovyo sana!!

U-tube is a device used for water electrolysis, for laboratory hydrogen and oxygen obtaining. Rudi maabara utakuta hicho kifaa
 
Tindo unaweza kuwa na kipindi ambacho watu hawapigi simu lakini kama host ni mzuri kinanoga tu. Huyu Mahela wengine tulisema muda mrefu kwamba anabore na anaingia katikati ya kipindi. Ni mtangazaji wa ajabu sana wakati mwingine yeye anajigeuza kuwa ndiye mwalikwa anajijibu maswali yake. Anauliza maswali ya hovyo hovyo kabisa. Labda naye anavizia fursa kama za akina Buhohela za kutokea kwenye Dakika 45 kwenda idara ya Mawasiliano Ikulu!

Ni kweli usemalo, lakini nimemaanisha iwapo wananchi wangekuwa wanapiga simu kwenye hicho kipindi wangalau lingesaidia kujaza ombwe la huyo mtangazaji.
 
Tindo unaweza kuwa na kipindi ambacho watu hawapigi simu lakini kama host ni mzuri kinanoga tu. Huyu Mahela wengine tulisema muda mrefu kwamba anabore na anaingia katikati ya kipindi. Ni mtangazaji wa ajabu sana wakati mwingine yeye anajigeuza kuwa ndiye mwalikwa anajijibu maswali yake. Anauliza maswali ya hovyo hovyo kabisa. Labda naye anavizia fursa kama za akina Buhohela za kutokea kwenye Dakika 45 kwenda idara ya Mawasiliano Ikulu!

Ni kweli usemalo, lakini nimemaanisha iwapo wananchi wangekuwa wanapiga simu kwenye hicho kipindi wangalau lingesaidia kujaza ombwe la huyo mtangazaji.
 
Mkuu unamaanisha nini kusema muda wake uishe? 2020? Mbona kuna dalili anaweza kuondoka mwenyewe baada ya zoezi la 26/4?

Mkuu Chakaza ngoja nikuambie ukweli mchungu, hiyo tarehe 26/4 hakuna atakayeandamana, na hata wakiandamana hatatoka. Na iwapo atakuwa hai hata hiyo 2020 ataendelea kuwa rais. Kwa kura au kwa ubabe. Tengekuwa na wananchi wanaothubutu kuonyesha hasira zao wangalau angetii, lakini sio kwa hali hii iliyopo. Mkuu kama box la kura lilitolewa kituoni na kisha kurudishwa tena kituoni na wala hakuna aliyekwenda mahakamani, hapo unategemea kuna mwananchi atashawishika kuandamana ili kumpinga. Sioni ndani ya miaka 10 hii inayomruhusu kuwa rais kikatiba akitolewa kwa nguvu ya umma.
 
Mkuu unamaanisha nini kusema muda wake uishe? 2020? Mbona kuna dalili anaweza kuondoka mwenyewe baada ya zoezi la 26/4?

Mkuu Chakaza ngoja nikuambie ukweli mchungu, hiyo tarehe 26/4 hakuna atakayeandamana, na hata wakiandamana hatatoka. Na iwapo atakuwa hai hata hiyo 2020 ataendelea kuwa rais. Kwa kura au kwa ubabe. Tengekuwa na wananchi wanaothubutu kuonyesha hasira zao wangalau angetii, lakini sio kwa hali hii iliyopo. Mkuu kama box la kura lilitolewa kituoni na kisha kurudishwa tena kituoni na wala hakuna aliyekwenda mahakamani, hapo unategemea kuna mwananchi atashawishika kuandamana ili kumpinga. Sioni ndani ya miaka 10 hii inayomruhusu kuwa rais kikatiba akitolewa kwa nguvu ya umma.
 
Anatakiwa aulize swali siyo kutangulia kwenye jibu la swali. Mara nyingi anamuuliza mhusika swali hapo hapo anampa jibu.
interviwing skills hamna kabisa pale. ni ujinga ujinga tu... hana tofauti na enock bwigane yule mnywa konyagi za kupima wa TBC hovyo kabisa
 
Tv za Tanzania ziliishakosa mvuto make zimekuwa government mouthpiece na zinashindana kuifurahisha serikali.

ITV hata kile kipindi chao cha 'Malumbano ya Hoja' waliishakiharibu kwa kujipendekeza serikalini na wengi tulishaacha kukitazama.

Tv zilizobaki zenye hoja za ushindani kisiasa ni za Kenya tu. Vituo vya Tv Tanzania vinashindana kusherehesha Ikulu.
 
Anzisha TV station yako au omba air time TV zingine. Channel 10,Iman TV, Rwanda TV, mindset, Bukede,k24 nk.
 
Akina Mengi hawajiamini ktk shughuli wanazofanya, inabidi tu wafanye kazi ya kujipendekeza pendekeza.

TV ni zile za Kenya kina KTN, NTV, K24 nk, au mtu kama unaweza Aljazeera, BBC, CNN, Sky nk. Hizi za hapa kwetu zimekuwa "Government Mouthpiece".
 
Back
Top Bottom