MANCNOO
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 434
- 996
Nilifikiri shytown iliyokaribu na mnara wa vodastand ya hiace pale jirani na playmater
Nilifikiri shytown iliyokaribu na mnara wa vodastand ya hiace pale jirani na playmater
kwani ni wapi hapo si shytown kabsa achana na stand ya pale soko kuuNilifikiri shytown iliyokaribu na mnara wa voda
Kuna dogo mmpenda hizo mambo aliizidiiwa kwenye mambo ya message akachapwa simu ya gharama mitaa ya Ilala hukobeba ela.ya kunyolea tu simu na vitu vingne vya thaman acha home ili akikwambia ayo yote we uwe unamjibu "dada nina ela ya kunyolea tu si unaiona ?"
huyo anayefanyia massage salon ni mshamba. Massage anakuja lodge unavua nguo zote unamwachia mazaga apambane nayoKuna dogo mmpenda hizo mambo aliizidiiwa kwenye mambo ya message akachapwa simu ya gharama mitaa ya Ilala huko
Njoo Huku Manzese kunyoa 1500 hadi 1000 an ukikwama kabisa unaongea na dogo anakunyoa fresh Kwa JeroMitaa Ile kunyoa ni 20k..ukiwa mzembe unaweza kumaliza zaidi ya 100k maana kila watakachokwambia utajikuta unaitikia ndio tuuu...
Mimi nimehamia uswahilini saiv.. Nanyoa bila shida naenda kuoga nyumbani baada ya kunyoa
Ziko nyingi sana. Kwa Dar nenda salon za Sinza, Mwenge na Kijitonyama. Kwa Mwanza nilikwepa mtego salon moja barabara fulani jirani na Vizano Hotel (nadhani ni mtaa wa Uhuru). SIna uhakika na jinaWapi mkuu nielekeze saloon moja nikajionee mwenyewe mana raha ya ngoma ucheze
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂Kuna dogo mmpenda hizo mambo aliizidiiwa kwenye mambo ya message akachapwa simu ya gharama mitaa ya Ilala huko
Hahahahahahahaaaa,wee jamaa mbona unasema ambayo nilifanyiwa Mimi ,hata sikujua lengo lilikuwa Nini wakati ananigusagusa na vititi vyake,ndo nimejua Leo kumbe ilikuwa makusudiSio masihara alafu wanajua sehemu sensitive, na wanazisugua balaaa unakuta jibaba unalegea kama mlendaaa ....wanashambulia sana ktk masikio, shingoni hukuuu ....ukikutana na ziwa kubwa kubwa linakugusa gusa
Eh ndio kawaida yao , wakikwamnia laza kichwa pale pale kaka utapigwa na ziwaaa aa, sasa omba ukutane na ziwa kubwa kubwa lile...likikugusa gusaHahahahahahahaaaa,wee jamaa mbona unasema ambayo nilifanyiwa Mimi ,hata sikujua lengo lilikuwa Nini wakati ananigusagusa na vititi vyake,ndo nimejua Leo kumbe ilikuwa makusudi