Saluni za kunyoa hasa za Dar kuna umalaya mkubwa unaendelea

jokotinda_Jr

JF-Expert Member
Apr 9, 2022
882
1,517
Habari za mda huu wadau kwa uchunguzi wangu wa hapa dar saloon nyingi za kiume kuna mambo mengi sana yana endelea chini ya kapeti kuna umalaya sana na uzaji mkubwa sana wa dawa za kulevya wadada wanajiuza wazi wazi

Hasa hizi barbershop kuna warembo mle ndani ukisha maliza tu kunyolewa atakuita ndani utatajiwa huduma ambazo utajua hujui .... utasikia kaka nikufanyie masaj ya kichwa , au kaka nikufanyie scrubs, huku wakiwa na vinguo vyakichokozi

Juzi juma pili nlienda saloon moja pale mabibo mwisho baada ya kunyoa akaja mdada akaniambia njoo hku tukaingia ndani kwenye vyumba flani nya ndani baada ya kukoshwa akanza kunipapasa mabega hku akiniambia kaka nikufanyie scrubs wakati huo kichwa changu kikiwa kwenye kifua chake huku akirembua macho

Nikauchuna nika mwambia siku nyingine nika mpa akate pesa yake ya kunyoa 3000 na chenchi iliyo baki 2000 nika mwambia utakunywa soda nika sepa .... kwa sasa siendi tena hizi barbershop nta nyoa kwenye saluni za kawaida ntaend kuoga kwangu imeisha hiyo ... sitaki kubeti maisha
 
Habari za mda huu wadau kwa uchunguzi wangu wa hapa dar saloon nyingi za kiume kuna mambo mengi sana yana endelea chini ya kapeti kuna umalaya sana na uzaji mkubwa sana wa dawa za kulevya wadada wanajiuza wazi wazi

Hii ina athiri jitihada za serikali ya kupunguza mambukizi mapya ya VVU na UKWIMWI najua pengine humu kuna wadau na mambo haya lakini ni muda mwafaka sasa serikali kuliangalia hili swala kwa mapana yake

Bora hizo kuliko zile massage parlour sijui massage nini
 
Habari za mda huu wadau kwa uchunguzi wangu wa hapa dar saloon nyingi za kiume kuna mambo mengi sana yana endelea chini ya kapeti kuna umalaya sana na uzaji mkubwa sana wa dawa za kulevya wadada wanajiuza wazi wazi

Hii ina athiri jitihada za serikali ya kupunguza mambukizi mapya ya VVU na UKWIMWI najua pengine humu kuna wadau na mambo haya lakini ni muda mwafaka sasa serikali kuliangalia hili swala kwa mapana yake
Wapi mkuu nielekeze saloon moja nikajionee mwenyewe mana raha ya ngoma ucheze
 
Habari za mda huu wadau kwa uchunguzi wangu wa hapa dar saloon nyingi za kiume kuna mambo mengi sana yana endelea chini ya kapeti kuna umalaya sana na uzaji mkubwa sana wa dawa za kulevya wadada wanajiuza wazi wazi

Hii ina athiri jitihada za serikali ya kupunguza mambukizi mapya ya VVU na UKWIMWI najua pengine humu kuna wadau na mambo haya lakini ni muda mwafaka sasa serikali kuliangalia hili swala kwa mapana yake
Unatamani serikali iliangalieje mkuu
Hutaki tukanyoe??
Au unatamani zifungwe??
 
Habari za mda huu wadau kwa uchunguzi wangu wa hapa dar saloon nyingi za kiume kuna mambo mengi sana yana endelea chini ya kapeti kuna umalaya sana na uzaji mkubwa sana wa dawa za kulevya wadada wanajiuza wazi wazi

Hii ina athiri jitihada za serikali ya kupunguza mambukizi mapya ya VVU na UKWIMWI najua pengine humu kuna wadau na mambo haya lakini ni muda mwafaka sasa serikali kuliangalia hili swala kwa mapana yake
Fafanua umalaya unafanyikaje na madawa yanauzwaje?
 
Habari za mda huu wadau kwa uchunguzi wangu wa hapa dar saloon nyingi za kiume kuna mambo mengi sana yana endelea chini ya kapeti kuna umalaya sana na uzaji mkubwa sana wa dawa za kulevya wadada wanajiuza wazi wazi

Hii ina athiri jitihada za serikali ya kupunguza mambukizi mapya ya VVU na UKWIMWI najua pengine humu kuna wadau na mambo haya lakini ni muda mwafaka sasa serikali kuliangalia hili swala kwa mapana yake
Aisee...
 

Similar Discussions

29 Reactions
Reply
Back
Top Bottom