Kanye2016
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,474
- 2,445
Karibu Dasalama, nenda pale City Mall kuna Saloon moja mademu wote visu. Na bei zao zimechangamka, ukimaliza kawahadithie vizuri kwenu huko Uvinza.Habari za mda huu wadau kwa uchunguzi wangu wa hapa dar saloon nyingi za kiume kuna mambo mengi sana yana endelea chini ya kapeti kuna umalaya sana na uzaji mkubwa sana wa dawa za kulevya wadada wanajiuza wazi wazi
Hii ina athiri jitihada za serikali ya kupunguza mambukizi mapya ya VVU na UKIMWI najua pengine humu kuna wadau na mambo haya lakini ni muda mwafaka sasa serikali kuliangalia hili swala kwa mapana yake