Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,853
- 41,187
Ukitoa toa bila kukumbuka
Imepenya hiyooooo....roho inaumaWapuuzi sana,na wanaochangia sijui akili yao,linajiona chama kikubwa cha upinzani wanakutana na hukumu hawana hata senti wanaanza kuombaomba.
Kiujumla hawana akiba na ruzuku mil 340 wanayopata.
Hombus kabisa 🙃
Weka risiti yako tuone,Ile ya sh 10m uliyopost juzi imeenda wapi bwashee?!
Hebu muulize wakati hukumu ikisomwa alikuwepo mahakamani?? Kwann akimbilie Ikulu?? Ikulu siyo ofisi ya halashauri unaingia muda wowote kumuona mkirugenzi. Tafuta majuha wenzio uwadanganye.
Amesema "hazipo" au "hajaziona"?Naibu katibu mkuu wa Chadema mh Salum Mwalimu amesema amepitia lundi la makaratasi ya malipo ya waliowachangia na hajaona mchango wa sh 50,000 wala 10,000 bali 5,000, 2000, 1000 na 500 hii maana yake ni kuwa tumetolewa gerezani na wananchi wa kawaida kabisa.
Source ITV habari
My take; Nakumbuka mbunge Kingu wa Singida alichangia sh 250,000 au ziliingia kwenye utaratibu mwingine?
Maendeleo hayana vyama!
Hebu muulize wakati hukumu ikisomwa alikuwepo mahakamani?? Kwann akimbilie Ikulu?? Ikulu siyo ofisi ya halashauri unaingia muda wowote kumuona mkirugenzi. Tafuta majuha wenzio uwadanganye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyekiti ccm MKAPA amekiri kuwa waliiiba pesa BOT za EPA ili kusaidia ccm kampeni.
Kingu alikana huo mchango,Naibu katibu mkuu wa Chadema mh Salum Mwalimu amesema amepitia lundi la makaratasi ya malipo ya waliowachangia na hajaona mchango wa sh 50,000 wala 10,000 bali 5,000, 2000, 1000 na 500 hii maana yake ni kuwa tumetolewa gerezani na wananchi wa kawaida kabisa.
Source ITV habari
My take; Nakumbuka mbunge Kingu wa Singida alichangia sh 250,000 au ziliingia kwenye utaratibu mwingine?
Maendeleo hayana vyama!