Masanjaone
JF-Expert Member
- Nov 15, 2019
- 844
- 596
Chadema ndo zao kujiongeza! Zitto 2ml. Jonathan creugoly mushi 300,000/= mimi 150,000/= inamaana zte hazipo.Naibu katibu mkuu wa Chadema mh Salum Mwalimu amesema amepitia lundi la makaratasi ya malipo ya waliowachangia na hajaona mchango wa sh 50,000 wala 10,000 bali 5,000, 2000, 1000 na 500 hii maana yake ni kuwa tumetolewa gerezani na wananchi wa kawaida kabisa.
Source ITV habari
My take; Nakumbuka mbunge Kingu wa Singida alichangia sh 250,000 au ziliingia kwenye utaratibu mwingine?
Maendeleo hayana vyama!