Kanguyeyejr
Senior Member
- Jan 27, 2018
- 105
- 91
Amani iwe nanyi, Leo hii akihutubia Morocco Salum Mwalim amewaasa wana Kinondoni kutomchagua mbunge dhaifu kwani watakuwa dhaifu kwa miaka mitatu ijayo.
Amewaomba wanakinondoni kutumia vizuri kodi yao takribani sh billion moja inayotumika kulipia gharama za uchaguzi huo wa marudio unaofanyika kufuatia kujiuzulu kwa mh Mtulia kwa madai anamuunga mkono mwenyekiti wa CCM.
Amewataka wapiga kura kujitokeza na kumpigia kura za kutosha kwani hatawasaliti na hanunuliki, ova
Amewaomba wanakinondoni kutumia vizuri kodi yao takribani sh billion moja inayotumika kulipia gharama za uchaguzi huo wa marudio unaofanyika kufuatia kujiuzulu kwa mh Mtulia kwa madai anamuunga mkono mwenyekiti wa CCM.
Amewataka wapiga kura kujitokeza na kumpigia kura za kutosha kwani hatawasaliti na hanunuliki, ova