Kwahiyo hamtaki tena Muungano ? Kama ni hivyo Masauni na Hamdu Shaka wanafanya nini Tanganyika ?Mpemba kafata nini Simiyu? Acha aisome namba
Magufuli kaenda pemba kufanya nini?Zanzibar ni nchi kamili kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ya 2010.Huyu Salum Mwalimu ni naibu katibu mkuu wa CHADEMA wa nchi Huru na nchi kamili ya Zanzibar.Kwa nini alitoka nchini kwao kuja kuleta uchochezi kwenye nchi isiyokuwa yake? Anakuja kuingilia mambo ya siasa za ndani za nchi ya Tanzania BARA wakati Tanzania bara inaye Naibu KAtibu mkuu wake wa CHADEMA ambaye ni MHESHIMIWA sana John MNYIKA.
Yeye Salum Mwalimu KAZI ZAKE za Unaibu katibu mkuu ni Zanzibar sio Tanzania bara huku Tanzania bara ni eneo la Ufalme la JOHN Mnyika.Polisi endeleeni kumng`ang`ania huyo raia na kiongozi wa nchi ya Zanzibar aliyekuja kuleta uchochezi Tanzania bara na hilo kundi lake lililoungana naye huyo raia wa nchi ya Zanzibar
mkuu chige hii nchi iko ktk hali isiyo ya kawaida.Ina maana huyu jamaa bado yupo ndani?! Wanatumia vigezo gani kutompatia dhamana muda wote huu?!
Masauni na shaka wale wa UVCCM ni Wazanzibar, wapo Dodoma nao wanafanya siasa nchi sio yao, waondoke haraka .......Zanzibar ni nchi kamili kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ya 2010.Huyu Salum Mwalimu ni naibu katibu mkuu wa CHADEMA wa nchi Huru na nchi kamili ya Zanzibar.Kwa nini alitoka nchini kwao kuja kuleta uchochezi kwenye nchi isiyokuwa yake? Anakuja kuingilia mambo ya siasa za ndani za nchi ya Tanzania BARA wakati Tanzania bara inaye Naibu KAtibu mkuu wake wa CHADEMA ambaye ni MHESHIMIWA sana John MNYIKA.
Yeye Salum Mwalimu KAZI ZAKE za Unaibu katibu mkuu ni Zanzibar sio Tanzania bara huku Tanzania bara ni eneo la Ufalme la JOHN Mnyika.Polisi endeleeni kumng`ang`ania huyo raia na kiongozi wa nchi ya Zanzibar aliyekuja kuleta uchochezi Tanzania bara na hilo kundi lake lililoungana naye huyo raia wa nchi ya Zanzibar
Yaani sio siri nimekuwa shocked manake tangu nisikie yupo ndani, siku kadhaa zimepita... so, sikutarajia kabisa kwamba bado angekuwa ndani hadi sasa!!mkuu chige hii nchi iko ktk hali isiyo ya kawaida.
Walikuwa wanamzuia kupatikana nje 1 septemba kiaina, ila sasa wameamua tu kuonesha ubabe wa kiutawala. haina umuhimu ktk kutawala vyema nchi changa kidemokrasia tena ya kiafrikaYaani sio siri nimekuwa shocked manake tangu nisikie yupo ndani, siku kadhaa zimepita... so, sikutarajia kabisa kwamba bado angekuwa ndani hadi sasa!!
Magufuli leo yuko Pemba,Zanzibar ni nchi kamili kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ya 2010.Huyu Salum Mwalimu ni naibu katibu mkuu wa CHADEMA wa nchi Huru na nchi kamili ya Zanzibar.Kwa nini alitoka nchini kwao kuja kuleta uchochezi kwenye nchi isiyokuwa yake? Anakuja kuingilia mambo ya siasa za ndani za nchi ya Tanzania BARA wakati Tanzania bara inaye Naibu KAtibu mkuu wake wa CHADEMA ambaye ni MHESHIMIWA sana John MNYIKA.
Yeye Salum Mwalimu KAZI ZAKE za Unaibu katibu mkuu ni Zanzibar sio Tanzania bara huku Tanzania bara ni eneo la Ufalme la JOHN Mnyika.Polisi endeleeni kumng`ang`ania huyo raia na kiongozi wa nchi ya Zanzibar aliyekuja kuleta uchochezi Tanzania bara na hilo kundi lake lililoungana naye huyo raia wa nchi ya Zanzibar
Shaka Hamdu Shaka, Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM ni wa Tanzania Nzima .Cheo chake kinamruhurusu.Salum Mwalimu chake ni cha Zanzibar tushaka wa UVCCM ni mzanzibar, wapo Dodoma anafanya siasa nchi sio yao.......
Wampelekee mbatata urojo uone kama atakataa.Mmoja kati ya ma kamanda wa UKUTA aliyetiwa mahabusu agoma kula chakula kwa madai ya kutaka kusikilizwa kwa kesi yake.
Salum Mwalimu na wenziwe kumi na nane wamegoma kula kuanzia leo
Chanzo: Mwananchi
Acha ubaguzi. Simiyu na Pemba zote ni sehemu ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania hivyo kila raia wa nchi hii anao uhuru wa kwenda popote ndani ya Nchi hii.Mpemba kafata nini Simiyu? Acha aisome namba