Salum Mwalimu na wenzake nane wagoma kula

Salum Mwalimu na wenzake nane wagoma kula

Mateso ndiyo huzaa ushujaa maana hata makomandoo wa jeshi hupitia mateso makubwa sana kwa jina la mazoezi makali na magumu sana!!!!! Nawapa pole yao wavute subra yataisha tu nchi hii ni yetu sote na viongozi wetu wanawapenda watu wao saaaaaanaaaaahhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mmoja kati ya ma kamanda wa UKUTA aliyetiwa mahabusu agoma kula chakula kwa madai ya kutaka kusikilizwa kwa kesi yake.
Salum Mwalimu na wenziwe kumi na nane wamegoma kula kuanzia leo

Source: Mwananchi
Kugoma kula ni international strike!! kwa mburulaz wa TZ watasema oh tutawashtaki kutaka kujiua I hate them
 
Hee bado wapo ndani, mimi nilifikiri walikwishatoka kwa dhamana
 
utawala wa jp utatuachia vidonda visivyotibika,chuki mbaya ktk jamii,Tanzania bi nchi ya amani haijafikia sehenu ya kutesa wapinzani liasi hiki
 
Mungu amsimamie na hao makamanda wengine leo hii wanaandika historia ya ukombozi Mataka one day you will rip what you saw na Magufuli miaka mine na miezi parefu endelee tu na udikteta wako
 
Anatumia Kete aliyotumia Lema.
Ila tayari adabu anayo sasa.
Chezea sirikali
 
Mmoja kati ya ma kamanda wa UKUTA aliyetiwa mahabusu agoma kula chakula kwa madai ya kutaka kusikilizwa kwa kesi yake.
Salum Mwalimu na wenziwe kumi na nane wamegoma kula kuanzia leo

Source: Mwananchi

Zanzibar ni nchi kamili kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ya 2010.Huyu Salum Mwalimu ni naibu katibu mkuu wa CHADEMA wa nchi Huru na nchi kamili ya Zanzibar.Kwa nini alitoka nchini kwao kuja kuleta uchochezi kwenye nchi isiyokuwa yake? Anakuja kuingilia mambo ya siasa za ndani za nchi ya Tanzania BARA wakati Tanzania bara inaye Naibu KAtibu mkuu wake wa CHADEMA ambaye ni MHESHIMIWA sana John MNYIKA.

Yeye Salum Mwalimu KAZI ZAKE za Unaibu katibu mkuu ni Zanzibar sio Tanzania bara huku Tanzania bara ni eneo la Ufalme la JOHN Mnyika.Polisi endeleeni kumng`ang`ania huyo raia na kiongozi wa nchi ya Zanzibar aliyekuja kuleta uchochezi Tanzania bara na hilo kundi lake lililoungana naye huyo raia wa nchi ya Zanzibar
 
Back
Top Bottom