YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,050
saaaafi sana asile kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa kula chakula ni hiari
Mimi kitendo cha yeye kutokula nakiunga mkono.Chakula si jambo la muungano.Halimo katika mambo tuliyokubaliana sisi na kule Zanzibar ambako anatoka.Kitendo chake cha kula chakula cha bara bure bila kulipa chochote ni kuvunja katiba waziwazi.Abakie hivyo hivyo asile ili asivunje katiba.