Salum Mwalimu na wenzake nane wagoma kula

Salum Mwalimu na wenzake nane wagoma kula

halafu wakitoka tunawabeba kama yule wa arusha bas shuhul imeisha mbna huyu kakaa muda mrefu kulko yule mwengine
 
Zanzibar ni nchi kamili kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ya 2010.Huyu Salum Mwalimu ni naibu katibu mkuu wa CHADEMA wa nchi Huru na nchi kamili ya Zanzibar.Kwa nini alitoka nchini kwao kuja kuleta uchochezi kwenye nchi isiyokuwa yake? Anakuja kuingilia mambo ya siasa za ndani za nchi ya Tanzania BARA wakati Tanzania bara inaye Naibu KAtibu mkuu wake wa CHADEMA ambaye ni MHESHIMIWA sana John MNYIKA.

Yeye Salum Mwalimu KAZI ZAKE za Unaibu katibu mkuu ni Zanzibar sio Tanzania bara huku Tanzania bara ni eneo la Ufalme la JOHN Mnyika.Polisi endeleeni kumng`ang`ania huyo raia na kiongozi wa nchi ya Zanzibar aliyekuja kuleta uchochezi Tanzania bara na hilo kundi lake lililoungana naye huyo raia wa nchi ya Zanzibar
KATIKA UBORA WAKO.
 
Bdo kidogo watu wataanza kujilipua aseee stay tune maana uonevu ukizidi haki hikinyimwa what next?
 
Mmoja kati ya ma kamanda wa UKUTA aliyetiwa mahabusu agoma kula chakula kwa madai ya kutaka kusikilizwa kwa kesi yake.
Salum Mwalimu na wenziwe kumi na nane wamegoma kula kuanzia leo

Chanzo: Mwananchi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] effect za kujoin losing side.
Agome na kulala
 
Daima GIZA halitoweza kushinda NURU, wanahangaika TU na utumiaji mbovu wa vyombo vya dola kisiasa.
 
Magufuri kafuata nini Pemba.?UZEZETA KITU KIBAYA SANA

Magufuli ni raisi wa nchi nzima alipigiwa kura hadi Pemba eneo lake la kisiasa ni kote Tanzania bara na Zanzibar lakini huyo Salum Mwalim NI naibu katibu mkuu wa CHADEMA zanzibar ,eneo lake la siasa ni Zanzibar sio Tanzania bara.Tanzania bara tuna naibu katibu mkuu wa CHADEMA bara mtu wa bara mwenzetu JOHN mnyika.Huyo SALUM Mwalimu kama ni UKuta alitakiwa akauhamasishe kwao kwenye nchi yake ya Zanzibar aliko na mamlaka nako ya kisiasa.Kuja Tanzania bara ni choko choko
 
Hivi wamefanya makosa makubwa kiasi gani kiasi cha kunyimwa dhamana!! Nchi hii ni ya watanzania wote jamani, hii ni aibu kubwa sana kwa uongozi wa awamu hii.
 
Dhahabu haiwezi kuitwa dhahabu bila kupita kwenye moto, siku zote lazima upitie pagumu then ndo umalize na patamu, Mungu amsimamie kanda, zamu yake leo sisi Tupo nyuma yake.
 
saaaafi sana asile kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa kula chakula ni hiari
 
Zanzibar ni nchi kamili kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ya 2010.Huyu Salum Mwalimu ni naibu katibu mkuu wa CHADEMA wa nchi Huru na nchi kamili ya Zanzibar.Kwa nini alitoka nchini kwao kuja kuleta uchochezi kwenye nchi isiyokuwa yake? Anakuja kuingilia mambo ya siasa za ndani za nchi ya Tanzania BARA wakati Tanzania bara inaye Naibu KAtibu mkuu wake wa CHADEMA ambaye ni MHESHIMIWA sana John MNYIKA.

Yeye Salum Mwalimu KAZI ZAKE za Unaibu katibu mkuu ni Zanzibar sio Tanzania bara huku Tanzania bara ni eneo la Ufalme la JOHN Mnyika.Polisi endeleeni kumng`ang`ania huyo raia na kiongozi wa nchi ya Zanzibar aliyekuja kuleta uchochezi Tanzania bara na hilo kundi lake lililoungana naye huyo raia wa nchi ya Zanzibar
Dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana
 
Dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana

Kama wazanzibari msimngekuwa wabaguzi mngetaka tanzania iwe nchi moja mbona mlipitisha katiba yenu ya 2010 kuwa ZANZIBAR ni nchi? Na mapendekezo ya katiba UKAWA mnataka serikali tatu kama hamtaki ubaguzi si mngependekeza nchi moja yenye serikali moja ili kila mtu awe wa bara au zanzibar awe huru kwenda upande wowote wa muungano,kumiliki ardhi nk
 
Mmoja kati ya ma kamanda wa UKUTA aliyetiwa mahabusu agoma kula chakula kwa madai ya kutaka kusikilizwa kwa kesi yake.
Salum Mwalimu na wenziwe kumi na nane wamegoma kula kuanzia leo

Chanzo: Mwananchi
Poa tu.
 
Back
Top Bottom