PreGE2025 Salome Makamba Mbunge wa Covid-19 amkaanga Tundu Lissu Bungeni, adai kuzuia Uchaguzi ni Uhaini, aungana na G55

PreGE2025 Salome Makamba Mbunge wa Covid-19 amkaanga Tundu Lissu Bungeni, adai kuzuia Uchaguzi ni Uhaini, aungana na G55

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,499
Mbunge wa Viti Maalum Salome Makamba mmoja kati ya wabunge 19 wa Viti Maalumu CHADEMA amekataa msimamo wa Chama kuzuia Uchaguzi huku akisisitiza kuwaunga mkono kundi la G55 ndani ya Chama hicho.



 
Tunaishi nao
Wasitubebe ujinga hawa desperate wanawakezzz

Saa yaja masadukayo mtaficha nyuso zenu

Ushindi ni waipendao nchi ya ahadi.. Lissu for Tnyika
 
Mbunge wa Viti Maalum Salome Makamba mmoja kati ya wabunge 19 wa Viti Maalumu CHADEMA amekataa msimamo wa Chama kuzuia Uchaguzi huku akisisitiza kuwaunga mkono kundi la G55 ndani ya Chama hicho.

na amemrosti haswa dah,

welldone mate,
umekomaa vizuri sasa kisiasa, na siasa imekuingia na kukaa vizuri kwenye damu :KasugaYeah:
 
Anajiita mpinzani lakini anawazungumzia wapinzani wenzake kama yeye hayumo.
Anasema kuwa atampigia kura mgombea wa urais wa chama tawala lakini yeye bado ni mpinzani.
Anaunga mkono G-55 wakati G-55 wamesema wazi kuwa mfumo wa sasa wa uchaguzi si wa haki.
Hivi anadhani G-55 watamteua agombee ubunge?
Anatakiwa aseme bila kumung'unya maneno kuwa Bunge likivunjwa atahamia CCM na atagombea kama mwanachama wa CCM.
Anataka tu kuharibu mjadala uliokuwepo.

Amandla...
 
Back
Top Bottom