sanjomnyama
JF-Expert Member
- Mar 20, 2016
- 261
- 160
Bila shaka hilo JICHO lako la nne ni CHONGO..!kama ataendelea hivi 2017/18 unaweza usiwe mwaka mzuri kwa diamond kuna kitu nakiona kwa jicho la nne! ajipe muda wa kutoa ngoma zake!
utakuwa sio mzima wewe..........Hapo ubunifu umempiga chenga sana. Naona safari ya muziki imefika bandarini.
video imetokaWamewekeza kwenye nyimbo nzuri na wameongezea ujanja wao imekua nzuri ila nashindwa kujua yupi ni diamond na yupi ni raymond, nitawatofautisha video ikitoka.
Pia ningependa kujua ni nani mnufaika wa copyright ya Salome original version iiyoimbwa na Saida Karoli?
Ni muhimu kujua hili kwakuwa huu mziki wa saida umepata mwekezaji anayeenda kupakua mamilion very soon kwa tunaofahamu muziki tumeshaona hilo tayari. Je bidada anakwenda kunufaika na nyimbo hii?
kama ataendelea hivi 2017/18 unaweza usiwe mwaka mzuri kwa diamond kuna kitu nakiona kwa jicho la nne! ajipe muda wa kutoa ngoma zake!
Pole sana.Hapo ubunifu umempiga chenga sana. Naona safari ya muziki imefika bandarini.
Mimi sinaga mambo ya timu.kitu nikipenda napenda haijalishi ni nani.mmmh kumbe nawe timu mondi aaaaaaargriiiiih!
Hapo sawaMimi sinaga mambo ya timu.kitu nikipenda napenda haijalishi ni nani.
Ulitegemea kila mtu amsifie hata kama kuna mapungufu. Hiyo ni sanaa ubunifu ndo dira , mkuu.Pole sana.