Salome: Diamond Platnumz ft Rayvanny - General Views

Mabishoo watabidi tu wakate mauno kucheza wanseketa salomeee kwakuwa diamond amei-pimp ...
Safi kazi nzuri ujanja-ujanja flani mradi mtonyo uingie.
 
Sauti ya nyimbo nzuri!! Ila wamekosea mavazi wangevaa kihaya au ya kitanzania sio ya kinigeria
 
Huu ushindani!!
kiba na baraka vs WCB
ngoja tuone ngoma ipi itatoboa.
 
Diamond alitakiwa kupata ruhusa kwa saida,.Duniani kote wasanii wakubwa wana utaratibu huu,.mfano ngoma aliyofanya mayunga na akoni chorus ilikuwa ya msanii wa zamani kutoka afrika ya kusini..walipata kibali(walitoa mtonyo) ndio wakapewa ruhusa ya kuachia ngoma
 
Wenye wivu wajinyonge wenye wivu wajinyonge
Wanakodoa kodo [emoji102] wanakodoa kodo [emoji102]
 
mbona beat ya saida karoli
 
Ni kosa la jinai msanii kucopy kazi ya mwenzio, hapo adhabu itakua si chini ya 700 millions
 
kama ataendelea hivi 2017/18 unaweza usiwe mwaka mzuri kwa diamond kuna kitu nakiona kwa jicho la nne! ajipe muda wa kutoa ngoma zake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…