Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
hisa za precision air ni sh. 450@. Kanunueni.
umeona eeee
hisa za precision air ni sh. 450@. Kanunueni.
kwa nini hakumiliki alipokuwa hajawa first lady kama kuna uhalali?
hisa ni jambo dogo tu za presishen ea ni 450 ,hata weye waweza kumiliki
ishu sio majungu funguka kumbuka maneno ya mwalimu kiongozi au mke wa kiongozi kumiliki mali hivyo ukiwa madarakani ni kinyume na maadili ya uongozi na mambo mengine kama hayo,,,,,ikulu kuna biashara gani????????????haya ni majungu wana jf wenzangu,hebu tufanye kazi tuboreshe maisha yetu.wana falsafa wanasema kuwa watu wenye akili finyu hutumia muda wao mwingi kujadili na kuzungumzia maisha ya watu lakini watu wenye akili nyingi hupanga na kutafakari kuhusu maisha yoa na jinsi ya kuyaboresha.je sisi tupo kwenye kundi gani? alieleta hii thread atafakari na atujibu
Thubutu.Hii familia ya Jk itapata taabu sana siku nchi hii ikishikiliwa na Wapinzani wa kweli.
Kwani hicho ni kihoja Tanzania. Mbona mkapa alifanya hivo na hamkusema?
Ana hisa kwenye shule ya waturuki dar es salaaam, kwanini wao wageni wasimiliki wenyewe hizo shule