Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Baraka MpenjaNaona ni swala la muda tu tutapewa tangazo hilo,,hasa baada ya Msigwa kuhamishiwa wizara ya habari kuwa katibu mkuu ni wazi Sasa kuwa kikeke hakuacha kazi bure kule London
Watangazaji waliokuwa BBC na ambao walikuwa wakimponda JPM wanakaribishwa Ikulu ya Tanzania kuwa wasemaji wa serikali na wakurugenzi (Yunus+Kikeke) inawezekana kipindi walikuwa wakitumwa na mtuNaona ni swala la muda tu tutapewa tangazo hilo,,hasa baada ya Msigwa kuhamishiwa wizara ya habari kuwa katibu mkuu ni wazi Sasa kuwa kikeke hakuacha kazi bure kule London