Salim Kikeke aaga rasmi BBC

Salim Kikeke aaga rasmi BBC

siku hizi nafasi zetu wanachukua Wanyarwana

zamani idhaa zote za kimataifa za Kiswahili watangazaji wa Kitanzania walipewa kipaumbele sana hadi tukapata Mkuu wa idhaa ya BBC Swahili Tido Mhando

Watangazaji wetu kwny Radio zetu (ambazo ndio zilikuwa kama sehemu ya kuonesha weledi) wanaangalia wachekeshaji wenye followers wengi sio weledi
Hiyo ndio fashion mpya ya hizi FM radio
 
siku hizi nafasi zetu wanachukua Wanyarwana

zamani idhaa zote za kimataifa za Kiswahili watangazaji wa Kitanzania walipewa kipaumbele sana hadi tukapata Mkuu wa idhaa ya BBC Swahili Tido Mhando

Watangazaji wetu kwny Radio zetu (ambazo ndio zilikuwa kama sehemu ya kuonesha weledi) wanaangalia wachekeshaji wenye followers wengi sio weledi
Inauma sana. Tumekuwa kama vibwengo
 
Kuna vichwa kama Suluma Kassim (hata sura yake siijui) tangu mtoto namsikia BBC hadi leo in my 40s bado namsikia. Ila sina hakika sana kama bado yupo maana nami nimepunguza kusikiliza idhaa ya BBC-London
Waliogwa juzi ni Kikeke, Suluma Kassim (miaka 44 BBC) na Mariam.

View attachment 2604119
 
Akiwa na umri wa miaka 44 tu hata umri wa kustaafu bado mtangazaji Kinara wa Shirika la utangazaji la Uingereza (BBC) Salim Kikeke ametangaza kuondoka rasmi katika shirika hilo.

"Ninaondoka kwa hiyari yangu" alisikika Salim Kikeke wakati akiwaaga wasikilizaji na watazamaji wa Dira ya dunia ya BBC Swahili. Salim Kikeke ametumikia BBC kwa miaka 20 mpaka sasa.
Kikeke ambaye ni mtangazaji kinara wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC, jana Ijumaa Aprili 28, 2023 usiku aliwaaga wafanyakazi wenzake, watazamaji mara baada ya kumaliza kutangaza kipindi cha Dira ya Dunia. Bila kueleza anakokwenda alisema anakwenda kufanya majukumu mengine.


Source: BBC
 
Mkuu kama hiyo ofa ni tofauti na aljazeera basi amejichanganya...
Labda aende CNN au DEUSTCH WELLE..
Hahaaa!!!anaweza asiende huko akaja hapa akapiga pesa ndefu sana zaidi hata ya za huko!!mfano aje awe mkurugenzi wa TBC ,au semaji la serikali!!au PM,VP!!ni suala la muda tu,tena hilo jamaa ni lijanja lijanja sana!!
 
Ni baba wa familia uenda kabla ya kufanya maamuzi ameshauriana na mkewe wameona wachukue hatua stahiki nadhani mkewe pia ni mfanyakazi wa BBC, wazungu hawapendi kukaa sehemu moja miaka mingi uenda kamshauri bwana mkubwa wafanye jambo lao lingine kwa faida ya maisha yao, ukiwa na exposure maisha popote, uenda mkewe nae ame'resign.
 
Akiwa na umri wa miaka 44 tu hata umri wa kustaafu bado mtangazaji Kinara wa Shirika la utangazaji la Uingereza (BBC) Salim Kikeke ametangaza kuondoka rasmi katika shirika hilo.

"Ninaondoka kwa hiyari yangu" alisikika Salim Kikeke wakati akiwaaga wasikilizaji na watazamaji wa Dira ya dunia ya BBC Swahili. Salim Kikeke ametumikia BBC kwa miaka 20 mpaka sasa.
Kikeke ambaye ni mtangazaji kinara wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC, jana Ijumaa Aprili 28, 2023 usiku aliwaaga wafanyakazi wenzake, watazamaji mara baada ya kumaliza kutangaza kipindi cha Dira ya Dunia. Bila kueleza anakokwenda alisema anakwenda kufanya majukumu mengine.


Source: BBC
Waandishi Watatu wameondoka akiwemo Kikeke
 
Ni baba wa familia uenda kabla ya kufanya maamuzi ameshauriana na mkewe wameona wachukue hatua stahiki nadhani mkewe pia ni mfanyakazi wa BBC, wazungu hawapendi kukaa sehemu moja miaka mingi uenda kamshauri bwana mkubwa wafanye jambo lao lingine kwa faida ya maisha yao, ukiwa na exposure maisha popote, uenda mkewe nae ame'resign.
Hivi kwanini wazungu hawapendi kukaa sehemu moja muda mrefu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom