Salim Kikeke aaga rasmi BBC

Salim Kikeke aaga rasmi BBC

Mtangazaji nguli wa habari Salim Kikeke ambaye alizoelea umaarufu mkubwa kwa style yake ya utangazaji ameondoka rasmi BBC baada ya kufanya kazi na chombo hicho cha habari kwa zaidi ya miaka kumi.
Hakika Kikeke aliifanya vyema kazi yake vyema sana, na kiukweli hatasaulika kwa umahiri wake!
Tunamtakia kila la heri kwa majukumu yake mapya atakayoanza!

Kuna za ndani kwamba anafuata nyayo za Zuhura eti!!!
Kikekee ninamkubali sana
 
Hivi kuna mtanzania gani mwingine amebaki BBC swahili
siku hizi nafasi zetu wanachukua Wanyarwana

zamani idhaa zote za kimataifa za Kiswahili watangazaji wa Kitanzania walipewa kipaumbele sana hadi tukapata Mkuu wa idhaa ya BBC Swahili Tido Mhando

Watangazaji wetu kwny Radio zetu (ambazo ndio zilikuwa kama sehemu ya kuonesha weledi) wanaangalia wachekeshaji wenye followers wengi sio weledi
 
Back
Top Bottom