uteuzi mwingine
Regina Mziwanda zamani Regina MwalekwaHivi kuna mtanzania gani mwingine amebaki BBC swahili
MimiHivi kuna mtanzania gani mwingine amebaki BBC swahili
Kuna vichwa kama Suluma Kassim (hata sura yake siijui) tangu mtoto namsikia BBC hadi leo in my 40s bado namsikia. Ila sina hakika sana kama bado yupo maana nami nimepunguza kusikiliza idhaa ya BBC-LondonAise kumbe kweli BBC ukifikisha miaka 10 unatakiwa kukaa pembeni
Kikeke ni chawa wa Samia, hana weledi kama akina tido mhando nkMtangazaji nguli wa habari Salim Kikeke ambaye alizoelea umaarufu mkubwa kwa style yake ya utangazaji ameondoka rasmi BBC baada ya kufanya kazi na chombo hicho cha habari kwa zaidi ya miaka kumi.
Hakika Kikeke aliifanya vyema kazi yake vyema sana, na kiukweli hatasaulika kwa umahiri wake!
Tunamtakia kila la heri kwa majukumu yake mapya atakayoanza!
Kuna za ndani kwamba anafuata nyayo za Zuhura eti!!!
Subiri utamwona katika baraza jipya la mawaziri hivi punde.Mtangazaji nguli wa habari Salim Kikeke ambaye alizoelea umaarufu mkubwa kwa style yake ya utangazaji ameondoka rasmi BBC baada ya kufanya kazi na chombo hicho cha habari kwa zaidi ya miaka kumi.
Hakika Kikeke aliifanya vyema kazi yake vyema sana, na kiukweli hatasaulika kwa umahiri wake!
Tunamtakia kila la heri kwa majukumu yake mapya atakayoanza!
Kuna za ndani kwamba anafuata nyayo za Zuhura eti!!!
na tunapoelekea itakuwa ngumu zaidisiku hizi nafasi zetu wanachukua Wanyarwana
Watangazaji wetu kwny Radio zetu wanaangalia wachekeshaji wenye followers wengi sio weledi
Mitoto ya siku ya siku hizi misenge sanaBado hajafikia umri wa kuitwa mzee
Kuna vichwa kama Suluma Kassim (hata sura yake siijui) tangu mtoto namsikia BBC hadi leo in my 40s bado namsikia. Ila sina hakika sana kama bado yupo maana nami nimepunguza kusikiliza idhaa ya BBC-London
Kwani Kikeke ni mzenji?Samia anataka kuwajaza wazanzibari Ikulu waanze kutulisha urojo
Duh, kumbeKaondoka hivi sasa pamoja na Kikeke na Mariam Omary!
Walikuwa wamebaki wakongwe watatu,wameondoka wote kwa pamoja!
Kikeke yeye alisema anahitaji kusonga mbele zaidi!
Ni kweli...Hakuna jipya hapo hizo ni kazi za mkataba!! Mkataba wako ukiisha basi kama hauongezwi basi unaagwa!!
KabisaUkimsikia Kikeke au Gondwe anasoma taarifa ya habari unapata ile kitu inaitwa voice quality waliosomea uandishi wa habari wanaelewa hii