mchemsho
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 3,230
- 935
Elfu arobaoni na tano???Kawaida mno take home 45000 kwa wanaoanza

Elfu arobaoni na tano???Kawaida mno take home 45000 kwa wanaoanza

Thanks mkuu. Nipe technics za kuingia haposalary laki 4 hiyo basic, plus allowances (transport allowances, health allowances) na commission 7% ya kila mkopo unaotoa. hivyo takehome ni 1million nakuendelea
Samahani...hiyo ni kwa credit officer au hata kwa accountants? Maana nimeona nafasi za accountants na credit officers...msaada Tafadhali.salary laki 4 hiyo basic, plus allowances (transport allowances, health allowances) na commission 7% ya kila mkopo unaotoa. hivyo takehome ni 1million nakuendelea
Kumbe ni wahindi? Nitapambana tuu hakuna namnaIla Ethos uwe mchapa kaz kweli shouger wahindi si unawajua lakin
Wameita Hawa??? Au bado mkuu???Yupo Brac ya Arusha?
Huwa wanalipa vizuri? Nime apply Ile post ya Zanzibar nawasubiria...