Kwisense
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 475
- 1,138
Nahitaji kijana mmoja aliyesomea sales and marketing;
- awe na uzoefu wa mwaka mmoja.
- elimu kuanzia diploma na kuendelea.
- jinsia ni yeyote ile.
- umri uwe chini ya miaka 36.
- awe tayari kufanya kazi mafundi wetu wa umeme na taaluma nyingine.
Ofisi zetu zipo Dar es Salaam.
Shughuli zetu kubwa ni uuzaji wa pump za sheli na spears zake.
Mwenye sifa hizo naomba unitumie cv yako kwenye email ym.mtiba@gmail.com.
Samahani kwa kutumia email hiyo maana ya kampuni ina shida kidogo.
Kampuni letu linaitwa PETROLEUM AND INDUSTRIAL SERVICES (T) LIMITED.
Mwisho wa kupokea maombi ni Jumapili saa mbili jioni.
Kwa wale waliosomea uhasibu sihitaji, naomba uzingatie fani inayotakiwa.
- awe na uzoefu wa mwaka mmoja.
- elimu kuanzia diploma na kuendelea.
- jinsia ni yeyote ile.
- umri uwe chini ya miaka 36.
- awe tayari kufanya kazi mafundi wetu wa umeme na taaluma nyingine.
Ofisi zetu zipo Dar es Salaam.
Shughuli zetu kubwa ni uuzaji wa pump za sheli na spears zake.
Mwenye sifa hizo naomba unitumie cv yako kwenye email ym.mtiba@gmail.com.
Samahani kwa kutumia email hiyo maana ya kampuni ina shida kidogo.
Kampuni letu linaitwa PETROLEUM AND INDUSTRIAL SERVICES (T) LIMITED.
Mwisho wa kupokea maombi ni Jumapili saa mbili jioni.
Kwa wale waliosomea uhasibu sihitaji, naomba uzingatie fani inayotakiwa.