Salary Slip zero shillings

Salary Slip zero shillings

Niwashauri tu koa lakini si bank jamani..kuna siku nilikimbilia mkopo wa million kumi bank moja pale sayansi bila kujua nikaambiwa wanataka 300,000 sijui ya kwenda shambani kufanya upembuzi wao waende na wizarani kuhakiki.

Baada ya hapo nikaitwa kwenda kuangalia nalipa mil 13 yaani faida ya 3.m nawaachia..hiyo cha mtoto nikawanapewa maakaratasi nisaini nikaona kwenye mill kumi wamekata 1.5 inabaki ofisini kwao ati incase nimeshindwa kulipa malipo kwa wakati zile penalty wananikata hukoo

Uwiii nilisikia haja kubwa sina hamu kabisa yaani nakopa mil 8.2 kulipa 13,m aisee nilianza kuzibariki bpoint kabla awajavunja kwanza loh thx nilishaaamaliza yaani
 
Qhahahahahahaahhaahha nimecheka... Hahahah dah

pole.mzee m. 15? na hakuna ulichofanya?? nina mpango na mimi wa.kujitosa m. 20
 
mkuu mwajiri wakonae ni feki kabisa yaani haruhusiwi kukata ubalki na zero hata kama nikampuniyako......anatakiwa akuache na robo tatu yamshahara wako

Hata mi nimeshangaa... Coz nijuavyo mi.. 1/3 lazima ibaki
 
hahahha yaani mwezi huu naangusha bonge la party......kiruuuu salary slip imerudi normal..japo nawashwa kukopa tena hahahah

We miez miwil haiish lazima ukope.....ili uanze kutusumbia kwa mizinga wenzako
 
Kiukweli kuna kikund niliwahi kujiunga mkopo wake ni mgumu sana bt riba ni 5%tu kwa miez 3,sita au mwaka....hauna stress!kuna umuhimu wa kuangalia sehem ya kukopa....watu wanaokopesha wana akili sana has namna ya mrejesho na riba!kuwa makin sana kwa Individual unayekopa bank....!kuna bank ukikopa yaan utajuta mbona its almost unalipa riba zaid ya 50%.Ya mkopo.
 
Kwa biashara hauna jinsi inabidi ukope na uendelee kukopa kila siku hata kama una cash kuliko unazotaka invest
 
Ni pale utakapokopa kununua gari halafu gari linagongwa nyakanyaka mwezi wa kwanza wa mkopo halafu bima mgogoro.

Huku makato unakatwa, na gari huna.
 
Back
Top Bottom