mshana jr: labda mr. salary ni jamii ya wale jamaa wa kongo
tunaweza kumboost na zile dawa za kukuzia

mtoa mada hajafcha kitu bali naye pia ashangazwa kulikoni kwa "salary" mbona hakui wakati maswahiba wake wamekuwa "taller" mara mbili .... wakati yeye hajawahi hata kuwa "tall"Ngoja aje akija akimind mm nitamuomba msamahaa maana mtoa mada kuna kitu alitaka kusema ila kafichaa
Ungejua mtoto salary na mtoto maendeleo wamedumaa kwa sababu wanalelewa na baba na mama wa kambo usinge jisumbua kuuliza