Salamu za Eid El Adha kutoka kwa Freeman Mbowe kwenda kwa Waislam hizi hapa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,798
218,436
FB_IMG_1688069566934.jpg

Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe ambaye pia anafahamika kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , ametuma salamu za Idd el Adha kwa Waislam wa Tanzania na Duniani kote.

Ujumbe wake huu hapa , Nanukuu " Eid El Adha ni Ukumbusho wa Unyenyekevu na kujitoa . Vitu hivi viwili ni muhimu si tu kwa ustawi wa Jamii , bali pia katika kujenga ukaribu na Mwenyezi Mungu " mwisho wa kunukuu .
 
View attachment 2673659

Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe ambaye pia anafahamika kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , ametuma salamu za Idd el Adha kwa Waislam wa Tanzania na Duniani kote.

Ujumbe wake huu hapa , Nanukuu " Eid El Adha ni Ukumbusho wa Unyenyekevu na kujitoa . Vitu hivi viwili ni muhimu si tu kwa ustawi wa Jamii , bali pia katika kujenga ukaribu na Mwenyezi Mungu " mwisho wa kunukuu .
Mwamba kama Mwamba.....huko aliko atakuwa kachinja Farasi kabisa.
 
View attachment 2673659

Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe ambaye pia anafahamika kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , ametuma salamu za Idd el Adha kwa Waislam wa Tanzania na Duniani kote.

Ujumbe wake huu hapa , Nanukuu " Eid El Adha ni Ukumbusho wa Unyenyekevu na kujitoa . Vitu hivi viwili ni muhimu si tu kwa ustawi wa Jamii , bali pia katika kujenga ukaribu na Mwenyezi Mungu " mwisho wa kunukuu .
SAWA.

Lakini ungeniuliza mimimaoni yangu kuhusu haya ya viongozi wa kisiasa kujihusisha na haya mambo ya kidini ningekwambia huu siyo utaratibu muhimu.

Acha wenye dini zao washerehekee, hizi siasa zinahusiana vipi na hizo dini?

Lakini sababu yangu hasa ya kuja hapa kwenye mada yako hii ni moja tu, nayo ni kama kuuliza kama huko ndani ya chama mmezipata taarifa za uteuzi wa waNEC wapya!

Maajabu ni kuwa kama hizo siyo habari muhimu kwenu.
Lakini nadhani kuna namna, siyo bure kwa chama kutulia kama kilivyotulia kwa sasa. Pengine kuna mbinu zinaendelea ndani kwa ndani.
 
Sawa, ila...

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Sawa mkuu, ila hii ungempelekea Faiza Fox kwenye ile mada yake anayodai hakuna anayejua ubaya wa "Makubaliano/Mkataba.

Huyo Bibi ni mchawi hasa. anakaza shingo na kufanya uso kuwa mreeefu anapojifanya yeye haoni tatizo lolote.

Sasa eti anadai Samia kawapuuza wanaopiga kelele. Yeye anamhimiza achape kazi, bila ya kutambua kwamba mwenzake siku hizi kupata usingizi ni shida kubwa!

Faiza ni mchawi.
 
View attachment 2673659

Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe ambaye pia anafahamika kama Ustaadh Aboubakar Mbowe , ametuma salamu za Idd el Adha kwa Waislam wa Tanzania na Duniani kote.

Ujumbe wake huu hapa , Nanukuu " Eid El Adha ni Ukumbusho wa Unyenyekevu na kujitoa . Vitu hivi viwili ni muhimu si tu kwa ustawi wa Jamii , bali pia katika kujenga ukaribu na Mwenyezi Mungu " mwisho wa kunukuu .
Huyo mnafik, mbaguzi hatutaki hata kumsikia wala kumuona. ASIJIPENDEKEZE.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom