Mwigulu mpaka kamkondesha slaa kwa hoja zake zenye mashiko leo slaa halali akimwaza mwigulu.
Slaa anawaweza josefine na rose ndiyo taluma yake hana kipya kingine pengine na uropokaji na kutoa matamko kila wiki.Teh teh teh teh. Dr. Slaa aache kuandaa michakato ya 2015 pale magogoni, akondeshwe na jangili Mwigulu. Pole shost,
Wewe baba lisu unamjua vizuri? Uliza uambiwe usidandie usiyoyajua utachekwa.
Unauliza au unashangaa.Baba Lisu ni ????
Unauliza au unashangaa.
Nina imani sana na wapiga kura wa kizazi hiki hakika hawatatuangusha. CCM inakufa soon!
Mbona unaandika maharage yaliyochacha au umezidiwa a usingizi. Magaidi ni nyie chadema mnaomwagia watu tindikali, mwigulu ndio anaharibu mipango yenu haramu na ovuMshambulieni Gaidi Mwigulu vilivyo. Wana Irambamba wafunguliwe macho waone na kujitambua.
Siku wana Iramba wakijitambua Mwigulu atakuwa hatarini.......
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Hilo neno uwe unamwambia na shemeji mida km hiiAsante
Hata fisi alisema hivo hivo, mkono haukukatika hadi kumekucha akauawa.Nina imani sana na wapiga kura wa kizazi hiki hakika hawatatuangusha. CCM inakufa soon!
Rudia darasa, bado sana wewe
Hilo neno uwe unamwambia na shemeji mida km hii
Ninyi mmeenda kumtukana tu Mwigulu lakini kumbukeni kwamba wakubwa wenu wamemshindwa na ni hivi karibuni tu Babu alimshindwa.yangu macho!!!Mwigulu jimbomlako limevamiwa hawa jamaa hawakujui!!
View attachment 109219
Salamu rasmi IRAMBA MAGHARIBI, Timu ya kazi inaingia na kupiga kambi kuanzia Jumamosi hii kutoa elimu ya URAIA na UKOMBOZI wa Jimbo Hili kutoka kwenye ulaghai wa ccm uliowafumba macho wananchi kwa miaka mingi na maisha yao yakizidi kuwa magumu siku hadi siku, eti MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA!!!! huku wale waliopewa nafasi ya kuwatumikia wananchi wakiishia kuleta propaganda za kukandamiza harakati za mageuzi nchini na kujifanya MIUNGU WATU, kwamba hawataki kuona IRAMBA ikifanyiwa kazi za kisiasa na vyama vya upinzani kwa kuwazushia kesi za uongo na vitisho wanaharakati wanaoingia jimboni hapo, tumejiandaa sio tu kupokea vitisho, bali kwa lolote lile watakalokuja nalo ili mradi wananchi wa IRAMBA Magharibi wakombolewe,,,,, tutakuwepo hapo mimi David Djumbe, Jesca Kishoa pamoja kamanda wa upepo Ally Bananga, huku tukiwakaribisha wale wote wanajisikia kushiriki kazi hii katika jimbo hili, kwa namna yeyote ile ,wanaweza kuwasiliana nasi mapema kwa ajili ya utaratibu mzima.>>>
Utaachika ww, acha ushambenga nenda chumbani unasubiriwaYanakuhusu? Au ndo nyie siri.ziki? Unataka kunisaidia? Haya shostito...
Au mlishe sumu
Utaachika ww, acha ushambenga nenda chumbani unasubiriwa
Wanamjua kwa uongo, kubambikiza kesi, kung'oa kucha watu. Ndicho hicho kitakachopelekea anguko lake.Ninyi mmeenda kumtukana tu Mwigulu lakini kumbukeni kwamba wakubwa wenu wamemshindwa na ni hivi karibuni tu Babu alimshindwa.yangu macho!!!Mwigulu jimbomlako limevamiwa hawa jamaa hawakujui!!