Salamu za CHADEMA Iramba Magharibi

Mwigulu mpaka kamkondesha slaa kwa hoja zake zenye mashiko leo slaa halali akimwaza mwigulu.

Teh teh teh teh. Dr. Slaa aache kuandaa michakato ya 2015 pale magogoni, akondeshwe na jangili Mwigulu. Pole shost,
 
Teh teh teh teh. Dr. Slaa aache kuandaa michakato ya 2015 pale magogoni, akondeshwe na jangili Mwigulu. Pole shost,
Slaa anawaweza josefine na rose ndiyo taluma yake hana kipya kingine pengine na uropokaji na kutoa matamko kila wiki.
 
Nilishasema andaeni nepi na pembasi za kutosha mtatikiswa sana 2015 .
 
Nina imani sana na wapiga kura wa kizazi hiki hakika hawatatuangusha. CCM inakufa soon!
 
Mshambulieni Gaidi Mwigulu vilivyo. Wana Irambamba wafunguliwe macho waone na kujitambua.

Siku wana Iramba wakijitambua Mwigulu atakuwa hatarini.......

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Mbona unaandika maharage yaliyochacha au umezidiwa a usingizi. Magaidi ni nyie chadema mnaomwagia watu tindikali, mwigulu ndio anaharibu mipango yenu haramu na ovu
 
Ninyi mmeenda kumtukana tu Mwigulu lakini kumbukeni kwamba wakubwa wenu wamemshindwa na ni hivi karibuni tu Babu alimshindwa.yangu macho!!!Mwigulu jimbomlako limevamiwa hawa jamaa hawakujui!!

so what ?
 

sio siri jamaa wapo hoi kweli kweli.
 
Utaachika ww, acha ushambenga nenda chumbani unasubiriwa

Wengine saivi mchana kweupee... We vipi? Ndo upo shift ya ucku sio? Eti kweli mmewafukuza wabunge na madiwani...? Eti naskia Gaidi Mwigulu kafukuzwa unaibu? Niambie weeewe
 
Ninyi mmeenda kumtukana tu Mwigulu lakini kumbukeni kwamba wakubwa wenu wamemshindwa na ni hivi karibuni tu Babu alimshindwa.yangu macho!!!Mwigulu jimbomlako limevamiwa hawa jamaa hawakujui!!
Wanamjua kwa uongo, kubambikiza kesi, kung'oa kucha watu. Ndicho hicho kitakachopelekea anguko lake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…