Salamu za CHADEMA Iramba Magharibi

Wanyiramba wameapa kufa na mwigulu kwa hali na mali. Ataliongoza jimbo hadi atakapochoka mwenyewe
 
Nyie kina jumbe na wachumia tumbo wenzako, kabla hamjaenda iramba jiulizeni kwanza uwezo mdogo kabisa mlio nao wa fikra umesaidia nn familia zenu? Alienda mnyika na kitila wakauwa mtu, nyie mtauwa wangapi?
 

mlivochoka hadi nawahurumia, naamini hako kamradi katawasaidia kumega karuzuku kdg badala ya slaa kwenda kutumbua israeli na hawara yake nanyi mtafaidi kiasi
 
Dawa ya Mwigulu ni Best yangu Jesca Kishoa, "anamtoa" nyongo sasa hivi huyo gaidi.... Kishoaaaaa
 
Njaa, uvivu na kupenda chee inawamaliza vijana wa taifa hili kwa kasi sana.
 
mlivochoka hadi nawahurumia, naamini hako kamradi katawasaidia kumega karuzuku kdg badala ya slaa kwenda kutumbua israeli na hawara yake nanyi mtafaidi kiasi

Leo utataja mizimu yote! Cha ajabu mpaka mizimu yako yote ipo M4C. Kumbe dawa ya GAIDI Mwigulu ni wadada wabichi eeh??? Kama Lwanda Magele, tutamgalagaza huyo savimbi, hataamin. ifweero
 
Last edited by a moderator:
Dawa ya Mwigulu ni Best yangu Jesca Kishoa, "anamtoa" nyongo sasa hivi huyo gaidi.... Kishoaaaaa

hiyo nazi uliyobeba hapo juu haikusaidii kabisa. Mwigulu ameyaumbua magaidi kwa kuharibu mtandao wao wa uuwaji. Shika adabu yako
 
mlivochoka hadi nawahurumia, naamini hako kamradi katawasaidia kumega karuzuku kdg badala ya slaa kwenda kutumbua israeli na hawara yake nanyi mtafaidi kiasi

Wamechoka kama Pinda? Acha udhudhu wewe... CHADEMA ni O2
 
hiyo nazi uliyobeba hapo juu haikusaidii kabisa. Mwigulu ameyaumbua magaidi kwa kuharibu mtandao wao wa uuwaji. Shika adabu yako

Sisi kwetu hakuna nazi... Huku ubuyu ndo sana... Ndo maana napenda kujibizana nawe maana una ladha kama ya ubuyu!!? By the way MWIGULU ndo gaidi mkubwa ndani ya ccm, wengi ni Ramadhan Ighondu, Msakila, Jack Zocka. ifweero
 
Last edited by a moderator:
Sisi kwetu hakuna nazi... Huku ubuyu ndo sana... Ndo maana napenda kujibizana nawe maana una ladha kama ya ubuyu!!? By the way MWIGULU ndo gaidi mkubwa ndani ya ccm, wengi ni Ramadhan Ighondu, Msakila, Jack Zocka. ifweero
Iramba hakuna wachaga sijui mnafuata nini na chama chenu cha kikabila .
 
Majambazi utayajua tu,ona hata walivyojaa ni majambazi live,
chadema kila kiongozi mharifu ila uharifu wao unatofautiana tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…