- Thread starter
- #101
Bado hakuna tatizo kama maana ya hayo maneno ulishayatoa!Shikamoo, marahaba! Hapo vigezo gani vya salamu inakuwa imekidhi? Unaweza kujua mtu kaamkaje kupitia hiyo salamu?
Sent from my Infinix X697 using JamiiForums mobile app
Unatakiwa kufahamu kwamba kujishusha si unyonge.Kuna watu wana madhaifu makubwa ambayo katika jamii ni jambo la aibu sana likijulikana wazi wazi, kwa mfano mtu anayejikojolea kitandani, mtu mwenye wivu asiyependa kuona wengine wanaendelea hata kama yeue mwenyewe anapiga hatua ila hapendi tu kuona mwingine naye anafanikiwa katika maisha yake na mambo mengine mengi kama hayo. Sasa ukijitiisha chini ya mtu kama hyu na wewe hauna udhaifu huo, automatically unajikuta upo chini ya himaya yake na nguvu hasi iliyopo juu yake inaanza kukuendesha pasipo ridhaa yako unajikuta tu unafanya mambo ambayo ki asili siyo tabia yako na hupendi unalazimika tu. Hapa nimejaribu kukuonesha tu kwa sehemu, na nikwambie kwamba wewe unayekuwa chini ya mtu huyo jambo hilo linajidhihirisha kwa kiasi kikubwa zaidi kwako kuliko kwake kama ule usemi unaosema "vya kurithi vinazidi".
Hapa siyo kujishusha ila ni kujitia chini ya himaya ya mtu mkuuUnatakiwa kufahamu kwamba kujishusha si unyonge.