Salamu mh. Mwigulu: Wana-Iramba wanakushangaa sana

Kaka hata yeye haikumbuki mkuu, Utasiki achene unafiki hiyo shule haipo mahali popote Tanzania, kumbe ipo Iramba kwake.
 
Haiwezekani bhana ! hiyo shule haiwezi kuwa kwenye jimbo la Naibu Katibu Mkuu ( a.k.a TUTAHESHIMIANA TU ) , Umechakachua mkuu , mimi sitaki kuamini , mtu ambaye anawezesha wengine kuwa wakuu wa wilaya ?
 
amini usiamini huyu bingwa wa kujisifu hii ndio kati ya shule zake kama anabisha hapa nitamuumbua. Hivi anagawa ukuu wa wilaya sio?
 
Mwigulu sitashangaa kumuona kwenye choo cha pasport, akili zake kama kunguni.
 
Hii picha ni kweli imepigwa Iramba?
nlikuwa naiona kwenye mitandao siku za nyuma pia
attachment.php

jana alijisifu kuwa kila shule ina walimu kumi
hawana shida ya maji na wana barabara nzuri.
 
Sasa ni wakati wa CCM Kujifunza yaliyotokea Libya na Misri,Kwani Gaddafi na Mubaraka hapo mwanzo walikuwa hawapendwi na wananchi wao?.Itafika wakati Kwa mambo CCM wanayofanya Hao viongozi kama Mwigulu watakimbia nchi kwa kuwaogopa wananchi wasiwaue ,Nadhani hivyo first Class yake Bure kabisha anashindwa kupima mambo kwa umuhimu wake? au kawaona hao wana iramba mazezeta mpaka hawapelekee timu ya simba? daah kweli huyu jamaa Majanga sana.Ipo siku ambaya aina jina watawakimbia wananchi kama wanavyomkimbia Nyati au Simba
 
shule umeitafuta kwenye jf photoz ili kumchafua mwigulu we dada neema wewe mbona unamatatizo



M 23
Usifikiri watu humu jf wanazo akili kama zako,hauna unachojua umekalia majungu nenda kwa wenzako akina Hamy-D,Ukwaju,uncle Deo,na wajinga wengine

Katiba
Alichokifanya Mwigulu ni upuuzi kwani kutengeneza katiba hiyo ni ya Cdm au ccm au ni ya Watanzania wote? Kwa mtu anaejisifia kwamba ni mchumi first class ni upuuzi wa kufa mtu

Umetumia ushamba wa watu wa Iramba kugonganisha matukio ili wasiende na baadae kuja kujisifu jf kwamba hiyo ndiyo Iramba,kizazi kijacho kitakulaani ingawa wajiona mjanja kwa kuwanyima fursa ya kutoa maoni yao ili yaingizwe kwenye katiba mpya
Hiyo katiba mpya itatumiwa na cdm tu au na hao ccm uliowadanganya?

Kama kwa hiyo akili ndio ulipata first class wewe ni zumbukuku kinoma
 
Mimi nawashangaa nyie mnaoshangaa Mwiguru kupeleka timu ya Simba Iramba. Wanasisa wetu wengi hizi publicity ndiyo wanazitafuta, ni mara ngapi mmewasikia wakipeleka mipira na jezi wakiaandamana na waandishi wa habari wenye makamera ili tu watangazwe kuanzisha mashindano ya michezo kwa kuyaita majina yao! Na mara nyingi siyo endelevu - akikosa anachokitafuta mradi huo unakufa. Priority zetu mara zote si sahihi.
 
Back
Top Bottom