TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,749
- 21,202
Moja kwa moja kwenye mada.
Kwa mtindo huu wanaotumia madereva wenu hakika utadumu ila hautaweza kuhimili soko.
Dereva anataka kuwahi kufika Arusha au Mwanza saa 1700hrs, uko njiani ni fujo na hasara anayokuingizia ipo hivi; njiani kuna matuta makubwa (humps) na zile rasta (rumbles) anachofanya dereva ni kuyapita kwa speed kama zote ili basi la nyuma lisimpite.
Nashuhudia kwa basi za Mwanza -Arusha kama Capricorn, Asante Rabi nk, ni sawa kuwahi ila wanawapa hasara kubwa kwenye uhai na matengenezo ya hizo basi zenu
Bus (made in Tanzania or Kenya) ndiyo hasa yanye hizo ligi za kijinga, ndani ya basi ni kelele za staff carrier na madirisha kuelegea, abilia wanaokaa viti vya mwisho ndiyo wanapaswa kuelezea kwa ustadi kadhia hii ila wanaogopa sababu wakisema dereva anapanick na kuamua kupunguza mwendo na hatimaye Arusha au Mwanza mnaingia saa 2100hrs.
Wenye mabasi (luxury) ya kichina hawadumu lakini wanahimili soko, hii ndiyo akili ya biashara kuhimili soko huku unabadiri kitendea kazi kipya na siyo unadumu sokoni lakini hakuna mabadiriko.
Kwa mtindo huu wanaotumia madereva wenu hakika utadumu ila hautaweza kuhimili soko.
Dereva anataka kuwahi kufika Arusha au Mwanza saa 1700hrs, uko njiani ni fujo na hasara anayokuingizia ipo hivi; njiani kuna matuta makubwa (humps) na zile rasta (rumbles) anachofanya dereva ni kuyapita kwa speed kama zote ili basi la nyuma lisimpite.
Nashuhudia kwa basi za Mwanza -Arusha kama Capricorn, Asante Rabi nk, ni sawa kuwahi ila wanawapa hasara kubwa kwenye uhai na matengenezo ya hizo basi zenu
Bus (made in Tanzania or Kenya) ndiyo hasa yanye hizo ligi za kijinga, ndani ya basi ni kelele za staff carrier na madirisha kuelegea, abilia wanaokaa viti vya mwisho ndiyo wanapaswa kuelezea kwa ustadi kadhia hii ila wanaogopa sababu wakisema dereva anapanick na kuamua kupunguza mwendo na hatimaye Arusha au Mwanza mnaingia saa 2100hrs.
Wenye mabasi (luxury) ya kichina hawadumu lakini wanahimili soko, hii ndiyo akili ya biashara kuhimili soko huku unabadiri kitendea kazi kipya na siyo unadumu sokoni lakini hakuna mabadiriko.