Mwalimu aliona mbali. Apumzike tu kwa amani ingawa alikuwa anahitajika sana mwaka 2005. Tusingekuwa na JK aliyetuletea akina RA, EL na mafisadi wengine. Kwa mara ya kwanza kundi dogo tu la watu wenye pesa chafu wakaununua URAIS.
Usimchezee chatu..ooh chatu eehh...gongo usimtupie utaukosa ushindi.....Hapo mhe. Mrema ana bow down kuashiria kuwa sasa basi hataki tena ushindani na dola. Kweli njaa mbaya, ila ninamuonea huruma Mhe. Mrema kwa hali yake ya kiafya.
...mmmhh, kama salam ya ki-freemason?? angalia dole gumba la mrema lilimvyomminya mkwere plus mkono wa pili wa mrema ulivyomshika mkwere!! ni observation yangu tu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.