Salon za kunyoa hiyo MINYOO ziko Dodoma tu! Pembezoni na Mirembe hosp.
Hebu na wewe nisaidie hii, kama unajua Kiswahili..........
Ikiwa hii 11,000 = elfu kumi na moja.
Jee, hii ngapi 10,001
Nisaidie mtu wangu.
Hahahaha! Kama ungekuwa mwalimu??11,000 ni kumi na moja elfu
10,001 ni elfu kumi na moja!
Duh, nitawanyanyasaje ufisini. Thanks ASA
Hebu na wewe nisaidie hii, kama unajua Kiswahili..........
Ikiwa hii 11,000 = elfu kumi na moja.
Jee, hii ngapi 10,001
Nisaidie mtu wangu.