Kuna amri kuu mbili za kuzingatia ili ndoa idumu. Kwanza, ni lazima mke amheshimu na kumtii mumewe
Pili ni wajibu wa mume kumtunza mkewe kwa kila hali. NB: kulingana na uwezo wa mwanaume husika.
Ni busara pia kwa mwanamke kuridhika na hali ya kiuchumi ya mumewe.
Mke akiwa na tamaa ni chanzo cha mifarakano katika ndoa. Jadili...
Pili ni wajibu wa mume kumtunza mkewe kwa kila hali. NB: kulingana na uwezo wa mwanaume husika.
Ni busara pia kwa mwanamke kuridhika na hali ya kiuchumi ya mumewe.
Mke akiwa na tamaa ni chanzo cha mifarakano katika ndoa. Jadili...