Freema Agyeman JF-Expert Member Mar 3, 2011 3,666 3,526 Mar 3, 2011 #1 mabibi na mabwana. Pamoja kwa maslahi ya Taifa.
klorokwini JF-Expert Member Dec 2, 2009 8,648 5,140 Mar 4, 2011 #3 karib sana. ilikuwa tukukaribishe kwa mziki lakini bahati mbaya redio letu limemaliza betri
Freema Agyeman JF-Expert Member Mar 3, 2011 3,666 3,526 Mar 4, 2011 Thread starter #4 Ahsanteni sana. Naelewa kuwa Ngeleja analala mno, labda alipata mashambulizi toka kwa mbung'o hivyo suala la umeme ni 'inshu' na kutumia betri kupiga muziki si busara kiuchumi, ukizingatia kuwa nauli ya daladala imepanda.
Ahsanteni sana. Naelewa kuwa Ngeleja analala mno, labda alipata mashambulizi toka kwa mbung'o hivyo suala la umeme ni 'inshu' na kutumia betri kupiga muziki si busara kiuchumi, ukizingatia kuwa nauli ya daladala imepanda.
Mwenzetu JF-Expert Member Dec 16, 2010 550 193 Mar 4, 2011 #7 Freema Agyeman said: mabibi na mabwana. Pamoja kwa maslahi ya Taifa. Click to expand... karibu Freema Agyeman, karibu sana michango yako ya hali na mali pia kwa maslahi ya taifa
Freema Agyeman said: mabibi na mabwana. Pamoja kwa maslahi ya Taifa. Click to expand... karibu Freema Agyeman, karibu sana michango yako ya hali na mali pia kwa maslahi ya taifa