Salam za kwa-resma ziende kwa....

masara

JF-Expert Member
Jul 20, 2016
1,738
2,279
Baada ya mfungo kuanza naona kuna baadhi ya member wamekuwa wapitaji tu.naona wameamua kufunga kutumia JAMII FORUM.maana huenda ndio ulevi wao ilo wapatie thawabu.
Mimi napenda kumtumia salamu member NAKWEDE a.k.a.@NAHUJA. The mshenga wangu ndugu wa konk master pierre. Mtoto wa kipare
Naona hata simu yako haipatikani.najua uko bussy na kupika chakula kitamu hapo mwaloni mwanza.

Kama kuna mtu unamfahamu kuwa amefunga tafari acha jina leke hapa ukianza na herufu @. Ili aje akute salamu zake
KUMBUKA UKIPATA SALAMU,TUMA SALAM
kapeace
Mama Sabrina

Wa sukumaland
 
Salamu zangu za dhati kabisa zimwendee Dada yangu kipenzi wa hiari Shunie.

Popote pale ulipo Kaka yako nakukubali sana.

Karibu Mwanza

"Enough of No Love"
 
Back
Top Bottom