Viper JF-Expert Member Dec 21, 2007 3,667 1,401 Jul 7, 2011 #1 nilikutana na mzee wetu wenger kitaa flani akila raha... anasema tusiwe na wasiwasi atasajili world class player wa 4
nilikutana na mzee wetu wenger kitaa flani akila raha... anasema tusiwe na wasiwasi atasajili world class player wa 4
Viper JF-Expert Member Dec 21, 2007 3,667 1,401 Jul 7, 2011 Thread starter #4 Rejao said: Photoshopppppppppppppppppppp Craaaap Click to expand... ati photo shop... mzee wenger yupo summer vacations ... fuatilia habari mkuu ujifunze nini kinaendelea duniani
Rejao said: Photoshopppppppppppppppppppp Craaaap Click to expand... ati photo shop... mzee wenger yupo summer vacations ... fuatilia habari mkuu ujifunze nini kinaendelea duniani
C Che-lee JF-Expert Member Jun 10, 2011 318 88 Jul 7, 2011 #5 Rejao said: PhotoshoppppppppppppppppppppCraaaap Click to expand... Hata wayahudi mpaka kesho wanapinga kuwa yesu si mwana wa mungu wanasema wao wanamsubiri masihi wakweli!Hata wewe unafanana nao!!
Rejao said: PhotoshoppppppppppppppppppppCraaaap Click to expand... Hata wayahudi mpaka kesho wanapinga kuwa yesu si mwana wa mungu wanasema wao wanamsubiri masihi wakweli!Hata wewe unafanana nao!!
M Mladic Member Jul 1, 2011 7 0 Jul 7, 2011 #6 Raha asile ujanani aje kula uzeeni,na wenzake (mababu) wanafanya usajili mapema ye anakula bata,sisi tunataka kombe hata lambuzi,mzee kavu nini?
Raha asile ujanani aje kula uzeeni,na wenzake (mababu) wanafanya usajili mapema ye anakula bata,sisi tunataka kombe hata lambuzi,mzee kavu nini?
M Mladic Member Jul 1, 2011 7 0 Jul 7, 2011 #7 Raha asile ujanani aje kula uzeeni,na wenzake (mababu) wanafanya usajili mapemaaa ye anakula bata,sisi tunataka kombe hata lambuzi,mzee kavu nini?
Raha asile ujanani aje kula uzeeni,na wenzake (mababu) wanafanya usajili mapemaaa ye anakula bata,sisi tunataka kombe hata lambuzi,mzee kavu nini?