Salaam za X-Mass na Mwaka Mpya 2026

Salaam za X-Mass na Mwaka Mpya 2026

lubajaro

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2015
Posts
1,512
Reaction score
687
Wanabodi,

Mliokaribu na Mh. Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kipenzi cha watanzania wenye nia Njema na Taifa tunayempenda, Tunaomba kwa heshima na tahadhima tuweze kupata salamu kutoka kwake za Kheri ya X-Mass na Mwaka Mpya 2026 uliojaa kheri na fanaka tele.

Ni hayo tu, tuendelee kumuombea Dua Rais wetu dhidi ya maadui zake waliojaa hila katika Taifa letu
 
watu wanamachungu na ndugu zao we unaleta salamu za Xmass konyo
 
Wanabodi,

Mliokaribu na Mh. Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kipenzi cha watanzania wenye nia Njema na Taifa tunayempenda, Tunaomba kwa heshima na tahadhima tuweze kupata salamu kutoka kwake za Kheri ya X-Mass na Mwaka Mpya 2026 uliojaa kheri na fanaka tele.

Ni hayo tu, tuendelee kumuombea Dua Rais wetu dhidi ya maadui zake waliojaa hila katika Taifa letu
Mary Christmas and happy new year2026 in advance, to you all jf members :NoGodNo:
 
watu wanamachungu na ndugu zao we unaleta salamu za Xmass konyo

Pole Sana Ndugu kwa kupoteza Ndugu zako, MUNGU awape kauli thabiti na walale mahali pema peponi
 
  • Thanks
Reactions: Fbn
Back
Top Bottom