Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,267
Nimefanya Kaudadisi mkoani Iringa na Kugundua kwamba wana CCM wamejipanga kwa kina na vina kumuondoa Mchungaji Msigwa, bahati mbaya hakuna aliyeniambia ni kwa nini zaidi ya kusema ni sababu za kisiasa na lazima ang'oke
Kundi lingine lilisikika likimtaja Mwakalebela na wengine wamesema hajajulikana bado ila chama Tawala kikifanya makosa tena na kuweka mwanamke itakula kwao.
Kundi lingine lilisikika likimtaja Mwakalebela na wengine wamesema hajajulikana bado ila chama Tawala kikifanya makosa tena na kuweka mwanamke itakula kwao.