Sala:Mikopo batch 2

Kwa tusiopata tukashtaki kwa Mwenyezi Mungu
Kwa sababu fedha na mali ni mali yake...
Kwa sababu sala ni siri kati ya mwanadamu na Muumba wake hivyo
Kila mwenye kusudi iwe mzazi,mwanafunzi mwenyewe
Aliyepata,aliyekosa ajitoe hata useme neno moja
Kwa kimoyomoyo Mungu awasaidie watoto hawa wapate mikopo kama mapenzi yake Muumba...
Kijana wangu ananitia simanzi kwa kweli nipeni pole
Mungu wewe ndo tegemeo letu la kweli daima
 
Halafu toka watoe batch 1 wako kimyaaa!!! Vyuo ndo vimebakiza siku 5 vifungue!!! Hii shida sana! Ni vizuri watoe mapema kwa walio-confirm tayari ili watu wajipange mapema kusuka au kunyoa! Wiki hii ndo ya mwisho!!
 
Halafu toka watoe batch 1 wako kimyaaa!!! Vyuo ndo vimebakiza siku 5 vifungue!!! Hii shida sana! Ni vizuri watoe mapema kwa walio-confirm tayari ili watu wajipange mapema kusuka au kunyoa! Wiki hii ndo ya mwisho!!
kwel aisee j3 usajili unaanza
 
Back
Top Bottom