Mlikumbuka na kupulizia pafyumu hizo kadi na barua zenu jameni, maana mimi nilikuwa na shughuli ya kununua pafyumu mara kwa mara kwani ilikuwa ina kazi nyingi.
Mkuu tule tupichu twa tukamba hatuna umri wa kuvaa. Kuna siku nilikuwa duka moja mitaa ya Posta akaingia mama mmoja mkubwa kiumri zaidi yangu tu akamaugiza mwenye duka, " nipe ule mzigo wangu wa kila siku". Nikashangaa muuzaji akimfungia uto tupichu twa kamba. Ikabidi nichekeleee kimoyo moyo tu, nikasema ama kweli fasheni haina umri.
kiwatengu unaonaje utaiweza na ulivyo na haraka^^
Tukiweka kando sala au maombi ya pamoja ktk familia hususani ya usiku,baba,mama,na watoto n.k Imeelezwa kuwa wanandoa au wapenzi tu wanapokuwa chumbani kwao Kabla ya kuvamia kitanda kwa ajili ya tendo la ndoa,,wanaposali kwa adabu kuombea tendo hilo husaidia sana kufurahia kukutana kwao kimwili.
^^
Faida nyingine zinazotajwa ni pamoja na kuondoa kabisa tofauti ndogo ndogo ktk mahusiano yao kama juu ya watoto,pesa,na mengineyo.
^^
Nao wanasaikolojia Mc Grath na Gregoire N,wanasema kuwa tendo la ndoa hushikamana na akili zaidi hivyo linapounganishwa na imani bila shaka huleta matokeo mema.
Wao wanaenda mbali zaidi na kushauri mwanamke awe wa kwanza kuanzisha hoja hii kila kabla na baada ya tendo hili maana
"..Mwanamke humwona Mungu kama wa kuaminika zaidi na mahali pa kutafuta usalama,,lakini mwanaume humwelekea zaidi Mungu kwa kutumia akili yake..."
^^
Wana MMU sijui ni wangapi na akina nani wanaweza fanya hivi walau mfululizo kwa mwezi? Jaribu sasa pengine ugomvi na kutoridhishwa kutapungua au kuisha kabisa.
^^
Mimi huwa naomba wakati ule wazungu wanakaribia kushuka, "Ooooh my Goooood thanks for this sweetest Papuchi never seen before. Oooooooh Goood I'm coming"Ha ha ha chezeiya muhemuko.....
hivi unakuwa unaomba kwa kusema maneno gani eti?
Mkuu samahani sana, unajua mambo ya kutoonana kwa uso haya yana matatizo yake, unajua avatar na jina vilinichanganya kidogo. Naomba nifute kauli Mkuu.Ntake radhi mkuu... yaani huoni ndevu zangu! teh..
Mimi huwa naomba wakati ule wazungu wanakaribia kushuka, "Ooooh my Goooood thanks for this sweetest Papuchi never seen before. Oooooooh Goood I'm coming"
Hapo Mungu ndiyo anakuwa tayari kunipokea mtoto wake mtiifu kwa kazi nzuri niliyofanya.
na anaechomekewa anasemaje sasa!!!!!!!!!
Mkuu Mpitanjia huyo mtu hawezekani unafikiri utamuweza.Nyie watu kwa kuuliza maswali magumu! Hamwezekani
Hahahahaaaaaa. Umenikumbusha mbali sana mkuu, kuna siku nilitaka nikimbie nimuache totoz yangu chumbani, baada ya uona kiini cheusi cha macho sikioni. Kumbe yalikuwa manjonjo yake tu wakati anaisikilizia dushelele, nilipotoa tu akaamka spidi na kunizuia lakini mimi dushelele ilikuwa imeshalala doro kwa woga wa mada kesi. Ikabidi tuanze upya.Mi nilivomuoga nikisikia hayo maneno nitahisi unataka kudanja ntakimbia......
grafani11 mbona wewe unaniweza.......,Mkuu Mpitanjia huyo mtu hawezekani unafikiri utamuweza.
kwani wewe ulishalalamika kutoridhishwa?
:angry:
Mkuu Mpitanjia huyo mtu hawezekani unafikiri utamuweza.
Kwani wewe unataka uwezwe na wote mamito, mbona wataka kunipa hofu ya kunyang'anywa.
huwa napenda sana post zako ccta.
Leo umenichekesha had nimelia .
Napiga picha cjui ndo sahan zinakuwa mezan na chakula kishafunuliwa, mmm hiz sara zinakuwa za kimwil na si kiroho.
Thanx SNOWHITE you made my day
Kumbe tuko wengi aya bhana.hahaa sijajua kama angekatiza mitaa ya huku leo......,
Kumbe tuko wengi aya bhana.
Already taken my Queen.Take it easy my King!!!!!!!!!!